Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So just because Tanzania iko ba electric train inamaanisha Tanzania imeendelea? Ulisoma wapi kwamba kuwa na electric train ni kigezo Cha maendeleo? Uwepo wa electric train Tanzania mbona haijasaidia Tanzania kuongoza Kwa umasikini ukanda huu? Engage your brain bongolala.

Secondly, how's $32b pesa kiduchu in a country of only 1.2 million people? Mibongolala ni mibongolala tu
One of the indicators of development ni proper infrastucture facilities, si kila siku nyie mnatupugia kelele kuhusu sgr nginja nginja .? 😂😂😂

32 billion ni pesa kiduchu, hata kama ingekua na population ndogo vipi, ila hiyo haiondoi uhalisia mzee, wacha upumbavu. Wether inawatosha or not ila hiyo nipesa kidogo.
 
Silly excuse.
Just give us the screenshot like 👇 👇 👇 Maana nimeshindwa kuona how Kenyans Book on your fossil analog trens

1733752931628.png
 
Back
Top Bottom