Yani wamekuwa na inferiority ya ajabu sn, ni bora Ruto asingewastua mapema, wamekuwa kila kitu wanataka kushindana, sasa msanii wa Kenya ni wa kushindana na msanii wa Tanzania? Eti will Paulo, hata kumjua nimemjua leo.Baada ya hotuba ya Ruto pale Arusha naona kama nyang'au mmechangayikiwa hivi; ha ha ha😁
Wakenya tunamjua tunamtambua na ndio kwa maana ame perform Kenya multiple times. Huyo diamond wenu ajidishi na hizo performance zake za kipuzi za kulipsync, hata ni vizuri hakuperform jana. 🤣 🤣 🤣Huyo Etana anamjua nani, kwanza sio lazima kuwaita wasanii wa bongo waje kwenu ni shobo zenu na nikuambie tu hamtoweza kuacha kuwaomba wanamuziki wetu waje huko cz wakenya wanapenda mziki wa Tanzania kuliko mziki wowote, chuki yako haitosaidia kitu, kuhusu dharau ni kawaida kwa wanamuziki wakubwa ukiwaletea upuuzi wa kuvunja makubaliano hafanyi show.
Mtaweza kuishi bila Mondi nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakenya tunamjua tunamtambua na ndio kwa maana ame perform Kenya multiple times. Huyo diamond wenu ajidishi na hizo performance zake za kipuzi za kulipsync, hata ni vizuri hakuperform jana. 🤣 🤣 🤣
Onyesha Barabara iliyo na traffic nyingi kushinda expressway.Eti gari tano ndio traffic ya kuulizia uuoneshwe are you crazy?
Iko OLD SHINYANGA kuelekea Kijijini.Onyesha Barabara iliyo na traffic nyingi kushinda expressway.
Kichaa huyo achana naye.Iko OLD SHINYANGA kuelekea Kijijini.
Weka picha uwache ufala. Kama hii hapa pikipiki moja. Mmeshindwa kulipa toll? Kama daraja mnashindwa sasa mkipewa expressway ya KM 27 mtaweza. 😂Iko OLD SHINYANGA kuelekea Kijijini.
Fake communists from bongolala nilidhani mutapewa kipaumbele. 🤣 🤣 🤣
View: https://x.com/russembkenya/status/1865747470547841394
Msikize Etana alivyoongea. Etana sii Mkenya ni Mjamaica. Wasanii wenu Wana dharau na soon watakiona. Mchezo ushaanza.
View: https://youtu.be/jdAUfzQvfaU?si=7GeBumZIdvAKxCgw
Sasa kama aliishi Tanzania?Mnapenda kujitafutia umuhimu. Saahii sasa mnataka kujifanya mna urafiki na mama na kabla ateuliwe hamkumuongelea. No wonder Wasauzi wanawafukuza. 😂 😂
So what? Mtu ana miaka 72 na amekuwa mwanasiasa karibia miaka 50 unadhani ni nchi ngapi ameishi? Huwa mnajitafutia umaarufu kwa vitu vya upuuzi wakati hao wanamibia hawamtambui.Sasa kama aliishi Tanzania?
Msikize Etana alivyoongea. Etana sii Mkenya ni Mjamaica. Wasanii wenu Wana dharau na soon watakiona. Mchezo ushaanza.
View: https://youtu.be/jdAUfzQvfaU?si=7GeBumZIdvAKxCgw
Kutoroka ndio kutunyoosha? 😂 😂Jana Diamond kawanyosha. Wasanii wa kenya wanalia hovyo kama watoto.