Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Songea Airport 🔥🔥
View: https://x.com/AnnaSarungi/status/1863907530172150153?t=wuBemR17RAd-utilCl9W6g&s=19
20241204_071919.png
 
Namshangaa mwenzenu mwaiofhawaii haijui historia ya Kenya na East Africa kwa ujumla. I'm just dishing out straight facts. Kiswahili hakikuzaliwa Tanzania ila Tanzania ndio the current and only "Swahili Nation" par excellence. Mizizi ya Kiswahili inatokea Somalia. Kipindi hicho, wakulima wakibantu walisettle kwenye bonde ya mito ya Juba na Shabelle. Huo ustaarabu ndio unakumbukwa kama Shungwaya. Mji mkuu wake ulikwepo Somilia ya kusini kwenye maeneo ya kijiji cha Burgabo. Ila milki yake iliinclude maeneo ya modern-day kenya na Tanzania ikiwemo Somalia. According to oral traditions it seems like kuna vita ilitokea kati wabantu na watu wa asili ya kisomali, wabantu wakashidwa wakakimbia kwenda kusini zaidi kwa makundi. The most successful of these groups ikawa Wangozi. Na hisi hii group ilikuwa the merchant class in Shungwaya ambao walikuwa na ujuzi wa naval trade routes. Wakadominate sehemu za Pwani hadi Msumbiji. Pia kwasababu walikua exposed na mambo ya dunia, wakaja kuadopt Uislamu. Baada ya hio Shungwaya kuanguka, hakukuwa na political unity tena, bali city states zikatokea. Tunawaza kusema kwamba hii stage ya city states ndio the "Swahili Era". City state ya kwanza kudominate the region ilikua Kilwa. Hii ndio maana Watanzania tunasema Swahili ilioriginate in Kilwa maana Kilwa ilikua the first great Swahili city state. Baada ya hapo, Lamu ikadominate. Ilifuatwa na Mombasa, ikaja Zanzibar. Zanzibar ilikua the last of the the classical Swahili city states to dominate. Its successor is the Swahili NATION STATE of TANZANIA. This is why Tanzania is the only current Swahili Nation. Kenya is a nation where Swahili has a hustory and a presence, but it is not and has never claimed to be a Swahili nation. Sisi ndio the successors of Shungwaya, Kilwa, Lamu, Mombasa, and Zanzibar.
First of all, Shungwaya was in Kenya and extended to Somalia a bit not the other way round. No wonder the descendants of Wangozi are Kenyan.

Secondly, you missed the point. Mwaiofhawaii might not have gotten everything 100% right, but it's hypocritical for you to come gun blazing at Mwai when he's 80% correct yet you're okay with your fellow Bongolalas who are 100% wrong. Why not spend sometime educating them on the true origin of the Swahili language? Yani wewe Mwalimu utandike mwanafunzi aliyepata 80% viboko kisa hajafikisha 100% wakati wengine walio na 0% unawaacha?
 
Hujanielewa mkuu.
Saudi Arabia mbwa wapo ila sio katika sehemu za huduma za kijamii.
Je unaweza kunitajia stesheni ipi ya reli au sehemu ipi ya huduma ya kijamii ambayo wanatumia mbwa kukagua watu huko Saudi Arabia!??
Sio kukagua watu, wanakagua mabegi, na wanakagua kule sorting wala sio pale unapo check in.
 
First of all, Shungwaya was in Kenya and extended to Somalia a bit not the other way round. No wonder the descendants of Wangozi are Kenyan.

Secondly, you missed the point. Mwaiofhawaii might not have gotten everything 100% right, but it's hypocritical for you to come gun blazing at Mwai when he's 80% correct yet you're okay with your fellow Bongolalas who are 100% wrong. Why not spend sometime educating them on the true origin of the Swahili language? Yani wewe Mwalimu utandike mwanafunzi aliyepata 80% viboko kisa hajafikisha 100% wakati wengine walio na 0% unawaacha?
Kwa mujibu wa historia ya lugha, kiswahili si lugha ilikuepo hapo kwenye historia mnabishana nazo, wewe na huyo you all wrong, tulivyokuanavyo hapo zamani ni pijini zenye misamiati michache inayofanana na kiswahili, kwa mujibu wa wana sayansi wa lugha, Tafiti zimewekwa kisomi na wameeleza wazi contribution ya kila kabila katika kujenga kiswahili tulichonacho leo, ambapo taifiti zilizofanywa na wasomi wa lugha zinaelez kwamba wakati wa kusanifu kiswahili 60% of todays swahili (language of standardization) is kiunguja dialects. 30% kiarabu, 10% ndio contribution za makabila mingine kati ya hizo lahaja kuu za msingi 15. Haya maelezo yapo kwenye vitabu vya kiswahili Historia ya Lugha (topic ya kwanza Form five nilisoma). Katafute hizo vitabu jielemishe then njoo tujadili.
 
First of all, Shungwaya was in Kenya and extended to Somalia a bit not the other way round. No wonder the descendants of Wangozi are Kenyan.

Secondly, you missed the point. Mwaiofhawaii might not have gotten everything 100% right, but it's hypocritical for you to come gun blazing at Mwai when he's 80% correct yet you're okay with your fellow Bongolalas who are 100% wrong. Why not spend sometime educating them on the true origin of the Swahili language? Yani wewe Mwalimu utandike mwanafunzi aliyepata 80% viboko kisa hajafikisha 100% wakati wengine walio na 0% unawaacha?
Hivi ninyi mtamdanganya nani !?
Hivi mnatuchukulia sisi hatuna akili au hatujielewi!?
Kuna barua na karatasi zilizoandikwa kiswahili Karne za nyuma kabla hata ya hao uliowataja kujulikana ni kina nani.
Kiswahili chimbuko lake ni pwani ya Afrika mashariki kuanzia miji ya pwani ya Tanganyika hususan Kilwa.
Wewe endelea kulisha watu matango pori.
 
Kwa mujibu wa historia ya lugha, kiswahili si lugha ilikuepo hapo kwenye historia mnabishana nazo, wewe na huyo you all wrong, tulivyokuanavyo hapo zamani ni pijini zenye misamiati michache inayofanana na kiswahili, kwa mujibu wa wana sayansi wa lugha, Tafiti zimewekwa kisomi na wameeleza wazi contribution ya kila kabila katika kujenga kiswahili tulichonacho leo, ambapo taifiti zilizofanywa na wasomi wa lugha zinaelez kwamba wakati wa kusanifu kiswahili 60% of todays swahili (language of standardization) is kiunguja dialects. 30% kiarabu, 10% ndio contribution za makabila mingine kati ya hizo lahaja kuu za msingi 15. Haya maelezo yapo kwenye vitabu vya kiswahili Historia ya Lugha (topic ya kwanza Form five nilisoma). Katafute hizo vitabu jielemishe then njoo tujadili.
Achana naye huyo embu hii mada mkuu ife watawaumiza kichwa tu hao.
 
First of all, Shungwaya was in Kenya and extended to Somalia a bit not the other way round. No wonder the descendants of Wangozi are Kenyan.

Secondly, you missed the point. Mwaiofhawaii might not have gotten everything 100% right, but it's hypocritical for you to come gun blazing at Mwai when he's 80% correct yet you're okay with your fellow Bongolalas who are 100% wrong. Why not spend sometime educating them on the true origin of the Swahili language? Yani wewe Mwalimu utandike mwanafunzi aliyepata 80% viboko kisa hajafikisha 100% wakati wengine walio na 0% unawaacha?
Here's the thing, the dialect of Swahili in official use in both Kenya and Tanzania has a Tanzanian origin. Also, Kilwa was the first dominant Swahili city state in the Swahili Era. So Tanzanians are actually 80% right. But to call Swahili a foreign non-African language is so pathetically and embarrassingly wrong especially since the linguistic roots of Swahili can be traced to your own Kenya. Any exposed language takes loanwords from foreign languages. This doesn't make it automatically a foreign language. mwaiofhawaii That is such an embarrassingly ingnorant statement.
 
Sasa mkuu si kuna scanner!?
Kwani scanner hazitoshi kukagua mabegi!?
Bro tech yote hii ukague mabegi kwa mbwa!?
Kuna vitu scanner haiwezi kukagua, kumbuka pale kwenye scanner kuna watu wanaangalia na wanaweza kupitisha pasipo kujua au kwa kujua pia, so mbwa hapewi rushwa akipita ananusa mabegi yote, wale wamefundishwa, kukiwa na sintofahamu yoyote anatoa ishara.
 
Kuna vitu scanner haiwezi kukagua, kumbuka pale kwenye scanner kuna watu wanaangalia na wanaweza kupitisha pasipo kujua au kwa kujua pia, so mbwa hapewi rushwa akipita ananusa mabegi yote, wale wamefundishwa, kukiwa na sintofahamu yoyote anatoa ishara.
Mmmh sijui kwa utaratibu upi ila kama ni vitu hatarishi hakuna kitu scanner kitaacha kuona.
Nadhani ni namna ya utendaji tu ndio inakwamisha.
But sijaona ulazima wa mbwa kunusa begi.
Na hiyo sehemu mie nikifika Haki ya Mungu sipati huduma nageuza chap.
 
First of all, Shungwaya was in Kenya and extended to Somalia a bit not the other way round. No wonder the descendants of Wangozi are Kenyan.

Secondly, you missed the point. Mwaiofhawaii might not have gotten everything 100% right, but it's hypocritical for you to come gun blazing at Mwai when he's 80% correct yet you're okay with your fellow Bongolalas who are 100% wrong. Why not spend sometime educating them on the true origin of the Swahili language? Yani wewe Mwalimu utandike mwanafunzi aliyepata 80% viboko kisa hajafikisha 100% wakati wengine walio na 0% unawaacha?
Shungwaya's capital city was in Somalia opposite of the Bajuni islands. The Bajuni people are also known as Watikuu, ie., Wa-inchi-kuu, ie. those from the capital city. That name is evidence that the area where the Bajuini come from was considered the seat of power of ancient Shungwaya.
 
Lakini hii project naona Haina maana ni upotevu wa pesa
Watu ni wajuaji humu ndani! Mnafikiri SGR ni safari za mikoani tu! MTU wa Moro atapewa urahisi ku-connect flight kutokea Pugu station wakati plans za kujenga light raiway zikichelewa! Na hii SGR inapaswa kuunganishwa na Magufuli bus Terminal kama vile BRT inapaswa kwenda mpaka Pugu! Na pia kule Mbagala kwenda mbele zaidi mpaka Kisarawe!
 
Back
Top Bottom