Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmmh sijui kwa utaratibu upi ila kama ni vitu hatarishi hakuna kitu scanner kitaacha kuona.
Nadhani ni namna ya utendaji tu ndio inakwamisha.
But sijaona ulazima wa mbwa kunusa begi.
Na hiyo sehemu mie nikifika Haki ya Mungu sipati huduma nageuza chap.
Mkuu mbwa wapo sorting, sio at the check in counter, yn abiria huwezi kuwaona au kukutana na mbwa, wapo nyuma ya jengo. Kwenye zile scanner kuna watu na huwa mara nyingi tu wanapitisha mizigo haramu kwa kupewa rushwa, sasa wale mbwa kule nyuma wanatumika kuhakikisha mizigo imebeba vitu salama, ni kama unavyoona panya wanaotumika kutegua mabomu na ndivyo mbwa hivyo hivyo. Wanyama wana uwezo mkubwa sana wa kujua vitu haramu kuliko binadamu mkuu.
 
Watu ni wajuaji humu ndani! Mnafikiri SGR ni safari za mikoani tu! MTU wa Moro atapewa urahisi ku-connect flight kutokea Pugu station wakati plans za kujenga light raiway zikichelewa! Na hii SGR inapaswa kuunganishwa na Magufuli bus Terminal kama vile BRT inapaswa kwenda mpaka Pugu! Na pia kule Mbagala kwenda mbele zaidi mpaka Kisarawe!
Sawa ila idadi ya wateja na gharama za mradi zitaendana zitaendana?
 

View: https://youtu.be/CEmDtWoqAIM?si=d57aQOe_lHzxBPsx
Screenshot_20241204-111638.jpg
 
Shungwaya's capital city was in Somalia opposite of the Bajuni islands. The Bajuni people are also known as Watikuu, ie., Wa-inchi-kuu, ie. those from the capital city. That name is evidence that the area where the Bajuini come from was considered the seat of power of ancient Shungwaya.
Bro. Majority of the Bajuni people live in Kenya, while a minority live in Somalia. You're contradicting yourself.
 
Back
Top Bottom