Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

60% of Kenya’s debt ni ya wakenya compared to only 5% ya Wachina. Tanzania 80% of their debt ni ya foreigners Kenyans included.
Kama ni ya wakenya mbona serikali yenu haijiwezi yaani inakopa kulipa mishahara na deni tena na ukitoa mchina kuna IMF mpaka Finance bills inakuja eeh.

5% inaendesha nchi kama zuzu mpaka Maandamano, kuua, bado Taxes mnapangiwa.

Una source ya kuwa our 80% Debt ni zamchina while tuko Nyuma yenu kwa wanaodaiwa na mchina 🤣🤣
 
Hawa watanzania hukuwa na ujinga sana, ati sasa huyo chokora Ana jaribu kulinganisha money circulation in Kenya with their poor country, so to try and make it comparable anachukua money circulation ya whole year ya Tanzania analinganisha na money circulation ya Kenya one month😂😂
Mna circulation gani huko ukunyani? Ikiwa kila vitu mnavyotumia ni ancient? Wakora wengi.

Mkiguswa hata 50bob tu mnakuwa wehu mtaani.
 
Developed in What exactly kijana?
Everything.

One example ni hapa chini

1732111784599.jpeg
 
Back
Top Bottom