COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Mnategemea haka ka mwarabu ichy....haha uyo hatosiHebu tuwekee na wewe lile li flat screen la Samsung tulione 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mnategemea haka ka mwarabu ichy....haha uyo hatosiHebu tuwekee na wewe lile li flat screen la Samsung tulione 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nyie watu was middle income ni matajiri sana tena sana hebu tunyoroshe na ma flat screen, freezer , mpaka tuisome namba 😀 😀 😀Mnategemea haka ka mwarabu ichy....haha uyo hatosi
That was way back in October so would you be kind to post current pictures please?

umepaniki sana...ichoboy kakuchapa bakora za kwenye matako...Mzee bibi ako safe ama anadinywa??

Azam watuletee free Epl matches.....hapo nita tupa hii gotv decoder yangu through the window bila second thought..
Unapendaje vya bureeee.......wakati wewe ni people from middle economy nation......na mnamapesa mingi na uchumi mkubwa mnao mpaka dunia inaisoma namba bila kusahau mna mamillionaore kobao 9900 kwenye hiyo idadi nawe ukiwa mmoja wapo

😀😀😀😀😀wakenya ukiwashinda katika hoja huwa wanakimbila katika character assassination... smh.
ichoboy,jamaa wameshagundua kwamba you are way above their level in terms of good life....kitu pekee kidogo walichokuzidi labda lugha ya kingereza.
kwa vitu ambavyo umewaonyesha ni dhahiri shahiri kwamba umewazidi kipato mara dufu.
ndio maana wamekasirika na kuanza ku-attack personality yako badala ya hoja iliyopo mezani.
endelea kuwanyorosha comrade,tupo na wewe.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dah.....leo hakika umetukuka......umekuwa ghafla mzalendo wa east africa...hehe nakwambia Azam tv ikijaribu sana ina wanunuzi hamsini pekee...wakenya huwa wanadharau sana vitu vya tanzania...sijui mbona...ila mimi hapa ningependa kuwa na hio Azam decoder...hizi ma DSTV na Gotv tunatajirisha waafrika kusini tu...itabidi tumewacha kujenga South Africa...tujijenge wenyewe
ubarikiwe sanahehe nakwambia Azam tv ikijaribu sana ina wanunuzi hamsini pekee...wakenya huwa wanadharau sana vitu vya tanzania...sijui mbona...ila mimi hapa ningependa kuwa na hio Azam decoder...hizi ma DSTV na Gotv tunatajirisha waafrika kusini tu...itabidi tumewacha kujenga South Africa...tujijenge wenyewe

Ha haaaa umeuwa
Kuna kenyan poor people wenye poverty inawauma sana ujue........wanavionaga tu kwa wahindi pale naiyotaphone 2 the only phone with dual screen in the world from russia😀😀😀
View attachment 652534 View attachment 652536
View attachment 652537
Hapo ndipo mahala kwangu........jay456 megawatt hajui kuplay hilo inabidi afundishwe....maana kashazoea brick gameplaystation 3 slim 500 gb
View attachment 652543

Anatumia chogo huyo HITACHIHebu tuwekee na wewe lile li flat screen la Samsung tulione 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mtu wa middle income kabisa anatumia chogo 😀 😀 😀 amazing!!!Anatumia chogo huyo HITACHI
Mwarabu icho hatoshi tafteni representative mwingineMtu wa middle income kabisa anatumia chogo 😀 😀 😀 amazing!!!
Representative? Wakitu gani?Mwarabu icho hatoshi tafteni representative mwingine