Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kazi usiku na mchana hakuna kulala😀😀
IMG_0015.JPG
IMG_0016.JPG
IMG_0017.JPG
IMG_0018.JPG
IMG_0019.JPG
 
Kenya has more middle class than Tanzania Rwanda and Uganda combined.....
Kenya is not an LDC
Nairobi is the largest and most developed city between Joburg and Cairo......take it or leave it.....just hard facts
prove with evidence😀😀😀
 
seronga kajibu vizuri sana...ukweli ni kwamba kila eneo la tz lina lahaja yake ya kiswahili kutokana mchanganyiko wa lugha za kienyeji za eneo husika.

pwani karibia yote ya tz ikiwemo visiwa vya zanzibar ina lahaja yake ya kiswahili.

kwa namna fulani,waswahili wa pwani ya tz wanazungumza kiswahili kinachoshabihiana na kiswahili cha wakenya wa mombasa.

kiswahili cha kinzibar pia kinatofautina.mfano kiswahili anacho zungumza mpemba kinatoutiana kidogo na kiswahili cha waunguja.
Thats cool,but Zanzibar na Pwani ya kenya tofauti ni finyu sana.
Lafudhi inakaribiana sana.
 
Wana ji market of course but ni hard sana wapenye...azam energy drink pekee ndio imeweza
Azam TV sio wa kuwabeza Chief,,naamini mpaka wamechukua maamuzi ya kuingia Kenya wanafahamu bayana ushindani uliopo,,hivyo watakuwa wamejiandaa kukabiliana kwa kufanya kazi kwa kuangalia matakwa ya walaji,,muda utaamua,,,tuwape muda.!
 
hehe nakwambia Azam tv ikijaribu sana ina wanunuzi hamsini pekee...wakenya huwa wanadharau sana vitu vya tanzania...sijui mbona...ila mimi hapa ningependa kuwa na hio Azam decoder...hizi ma DSTV na Gotv tunatajirisha waafrika kusini tu...itabidi tumewacha kujenga South Africa...tujijenge wenyewe
 
Kenya has more middle class than Tanzania Rwanda and Uganda combined.....
Kenya is not an LDC
Nairobi is the largest and most developed city between Joburg and Cairo......take it or leave it.....just hard facts
Ukipanga miji ilioendelea zaidi Africa nai ni no ngapi?
Jozi, Cairo,Cape town,Durban,Casablanca,Lagos,Pretoria,Hamna ata mnaeweza replace apo, kelele kama mko labor room hatutak
 
hehe nakwambia Azam tv ikijaribu sana ina wanunuzi hamsini pekee...wakenya huwa wanadharau sana vitu vya tanzania...sijui mbona...ila mimi hapa ningependa kuwa na hio Azam decoder...hizi ma DSTV na Gotv tunatajirisha waafrika kusini tu...itabidi tumewacha kujenga South Africa...tujijenge wenyewe
Even Congolese hudharau bidhaa za kenya ,Tz, but waelewa wanaangalia ubora,dharau ni hulka ya kupuuza jambo tu bila ya kufuatilia kiundani no wonder wapuuzaji wazuri nao hupuuzwa vilevile na wale wanaodhani huwaona wao 2 ni bora...
 
Back
Top Bottom