Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tanzania got four awards😀😀😀😀

serengeri national park
ngorongoro crater
mount kilimanjaro
river nile (joint award)

kenya got one in river nile joint award

IMG_0055.jpg
 
kolo,
vitu anavyomiliki ichoboy wewe huna.

i can guarantee you,hata ufanye ukora nairobi cbd mwaka mzima,huwezi kufikia level ya ichoboy sana sana utaishia kuuliwa kwa risasi na hessy.
povu ruksa...
Sasa mzee Tena unachocha Mwarabu...huyo atoshi msee
 
Now U must be very proud arguing with Rich Kid Icho!
We've learned to Humble, binafsi naelewa faida za kunyenyekea, Even Jesus Christ besides his all Authority, he came to us in shame, (this is according to my Holly Bible)
I may have something over the others, but that doesn't make me better over them,
Learn to Humble kijana,
Icho was trying to teach you and your arrogant fellow Kenyans a nice lesson,
Please take it positive.
Haha who is proud here???
 
You!
Sababu wewe ni jobless Mkora,
Icho ni Millionaire, ts not easy for millionaires to calm down themselves to your level!
Jivunie hilo. Jifunze pia kuwa kama icho!


funny how you render every Kenyan jobless..............anyway suit yourself
 
deep in suba land......next year napangia kupanda French beans
Basi hongera kwa kuwa na acre 2. Lakini kwetu huku acre 2 wanamilki watoto wadogo wanaosoma shule ya msingi. Ila hongera sana kwa kuambulia hizo 2. Najaribu kujiuliza tu. Katikati ya ufisadi mtukufu wa kenya uweze kumilk ardhi. Je, wewe ni kikuyu au la?
 
Basi hongera kwa kuwa na acre 2. Lakini kwetu huku acre 2 wanamilki watoto wadogo wanaosoma shule ya msingi. Ila hongera sana kwa kuambulia hizo 2. Najaribu kujiuliza tu. Katikati ya ufisadi mtukufu wa kenya uweze kumilk ardhi. Je, wewe ni kikuyu au la?


hahaha......una maswali mengi kwani wewe ni polisi.......ama uko na dada unataka avuke border........aje apate mapenzi ya kikenya....hahaha
 
Unapendaje vya bureeee.......wakati wewe ni people from middle economy nation......na mnamapesa mingi na uchumi mkubwa mnao mpaka dunia inaisoma namba bila kusahau mna mamillionaore kobao 9900 kwenye hiyo idadi nawe ukiwa mmoja wapo



[HASHTAG]#STIPID[/HASHTAG] KENYAN


ndugu chokoraa wewe unafaa kulipa karo kwangu nikufanyie tuition.........habari ya uswazi kugumu?
 
hahaha......una maswali mengi kwani wewe ni polisi.......ama uko na dada unataka avuke border........aje apate mapenzi ya kikenya....hahaha
Mbona unakwepa maswali yangu!? Alah! Nilikuwa sijui kumbe siku hizi wakenya mpo na mapenzi. Mbona wanawake wa kenya wanawapiga waume zao? Kuna siku waliandamana kuwa hamuwapigi miti vizuri, hivi ni kweli?
 
Back
Top Bottom