ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
haya kaka nasema tuendelee kusifia tu hakuna shida 😂😂😂Mzee wapi nimesifia. Hapa ninatoa maelezo ya kisomi, wewe unaleta michambo.
haya kaka nasema tuendelee kusifia tu hakuna shida 😂😂😂Mzee wapi nimesifia. Hapa ninatoa maelezo ya kisomi, wewe unaleta michambo.
Siri itakuja fichuka juu ya huu ufisadi😂😂😂😂😂😂
yani wamepita viongozi watano wamekopa 54 trillion, sasa hvi deni ni 100trillion in just 3 good years yani almost half ya kile kilichokopwa na marais watano
Tunakopa kwaajili ya Investment. Usitudhalilishe kwa kutulinganisha na nchi maskini kama kenya ambayo haina Resources wala future.nimekwambia njia tunayoenda nayo ni ile ile waliopita hakuna tofaut 😂😂😂😂
hata wao kabla hawajafila kwenyw anguko walikua kama sisi
Hizi ndo hoja za kubebwa na upinzani lakini wao wanakomaa na JPM ambaye hawezi gombea tena uongozi😂😂😂😂😂😂
yani wamepita viongozi watano wamekopa 54 trillion, sasa hvi deni ni 100trillion in just 3 good years yani almost half ya kile kilichokopwa na marais watano
Umeanza kuwa kama wakenya sasa. Unaropoka tu bila context.haya kaka nasema tuendelee kusifia tu hakuna shida 😂😂😂
Tumefanya investment gani mpaka Sasa zinazofika thamani ya trillion 50 Kwa hii miaka mitatu?Mzee mambo ya Uchumi yanakupiga chenga. Sisi tunakopa kujenga vitu vinavyozalisha pesa.
Tunakopa kwaajili ya Investment
Wakenya wanakopa kwaajili Operational Expenditure
Tofautisha mzee.
Ni jinsi gani unajitia aibu,whole kundustan kumbe mna 66 high school!66 against Tanzanian 17
We have 10,000 against Tanzanian 5,000 High schoolsNi jinsi gani unajitia aibu,whole kundustan kumbe mna 66 high school!
Tumefanya investment gani mpaka Sasa zinazofika thamani ya trillion 50 Kwa hii miaka mitatu?
Hapo nimeorodhesha nini?hapa hatuongelei mwanamke wala mwanaume hapa tunaongelea trillion 50 zilizokopwa 3 good yrs zimetumika kwenye maendeleo gani ??? watanzania kuna mengi wanataka kujua
Ndioalaf deni trillion 100 😂😂😂😂
from 56trillion to 100 trillion in just 3 yrs
Unapoteza mda kujibu hao Wafuasi wa Mwendazake,waulize wanajua miradi yeyote kwenye Kilimo uone kama watakujibu zaidi ya kuropoka tuu humuHiyo kwa uchache tu.
- BRT Phase III and Phase IV, Phase V ipo njiani umetoa wapi pesa?
- Upanuzi wa bandari ya Tanga umetoa wapi pesa?
- Project ya Matank ya kuhifadhia mafuta kigamboni umetoa wewe pesa
- Mabwawa ya umwagiliaji nchi nzima umetoa wewe pesa
- DMDP Phase II umezitoa wewe pesa?
- Ujenzi unaoendelea Phase II ya Magufuli City umetoa wewe pesa.
- Ujenzi wa Kigongo Busisi umetoa wewe pesa
- Mradi wa Msongo wa kV 400
nenda kapitie na hapa ujionee
Ubongo wako umejaa funzaWe have 10,000 against Tanzanian 5,000 High schools
Kwaiyo ndo trillion 50?Hiyo kwa uchache tu.
- BRT Phase III and Phase IV, Phase V ipo njiani umetoa wapi pesa?
- Upanuzi wa bandari ya Tanga umetoa wapi pesa?
- Project ya Matank ya kuhifadhia mafuta kigamboni umetoa wewe pesa
- Mabwawa ya umwagiliaji nchi nzima umetoa wewe pesa
- DMDP Phase II umezitoa wewe pesa?
- Ujenzi unaoendelea Phase II ya Magufuli City umetoa wewe pesa.
- Ujenzi wa Kigongo Busisi umetoa wewe pesa
- Mradi wa Msongo wa kV 400
nenda kapitie na hapa ujionee
Kinachotakiwa ni Ajira,wewe ulitaka tuingie mfumo gani? 😆😆naona mambo kama yawakenya yameanza sasa 😂😂😂
tunaingia kwenye mfumo ule ule
Naweza kukutajia sekta Moja Hadi nyingine,sema wewe tuanze na sekta gani maana tukienda randomly na vile hamjui kitu na mna akili ndogo hamuwezi kuelewa.Kwaiyo ndo trillion 50?
Wakenya wasione hii wataanza kutafuta gold popote duniani waje wauzie BOT, tutawaambia wakale walipopeleka mboga, hapa tunanunua za watanzania pekee, zao wakamuuzie Ruto wagawane pasu kwa pasu na tena Ruto atawapiga 50% kama kodi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unaona flyover zinajengwa kila kona Dar na unakenua mimeno yako tu. Unadhani zinajengwa kwa kutumia mapambio?Tumefanya investment gani mpaka Sasa zinazofika thamani ya trillion 50 Kwa hii miaka mitatu?
Unataka nikuwekee 50T. Acha utoto ebo!!Kwaiyo ndo trillion 50?
Tanzania inanunua 10t za dhahabu ili kuziweka kwenye Reserve. piga hesabu 10t ni Shilingi ngapi?Kwaiyo ndo trillion 50?