Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🔨🔨

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

Samia amekuza Bajeti mara 2 ya Ile ya mwisho ya Mwendazake ndani ya miaka 4.5 tuu🔥🔥

Bado una swali Kwa mama?

usnambie mambo ya budget ambayo haipo kwa sasa
🔨🔨

View: https://www.instagram.com/p/DB3FhlvsFY7/?igsh=MWM2a2JuZDIyODl2dw==

Samia amekuza Bajeti mara 2 ya Ile ya mwisho ya Mwendazake ndani ya miaka 4.5 tuu🔥🔥

Bado una swali Kwa mama?

next budget when?? usinambia mambo ambayo hayapo kwa sasa mzee usiwe kama mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂

from 56trillion to 96trillion in just 3 yrs ahhh nimekubali mzee na hapo kuna madeni mengi yaliokopwa hvi karibuni hayajawekwa naamini yakiweka tumegonga 100trillion ndani ya miaka mitatu mitakatifu au sio 😁😁😁😁🙌🏻🙌🏻
 
Magonjwa ya Afya ya akili yameanza kuwa serious Sasa 😄😄👇👇
View attachment 3141241
kwann ume screenshot imeandikwa na nani ??? 😂😂😂😂😂

au ndio ile okota okota chochote twitter?😂

yani ww chochote ukionacho ni kuokota tu hata hujui ni source ya wapi???😂😂😂😂😂

kweli nyumbu bado wanaishi 🙌🏻🙌🏻
 
kwann ume screenshot imeandikwa na nani ??? 😂😂😂😂😂

au ndio ile okota okota chochote twitter?😂

yani ww chochote ukionacho ni kuokota tu hata hujui ni source ya wapi???😂😂😂😂😂

kweli nyumbu bado wanaishi 🙌🏻🙌🏻
Na wewe toa ujinga wako hapa,hizo takwimu ziko WB na IMF.

Ndio maana nimekwambia una shida ya ugonjwa wa akili,wahi mirembe Samia ameiboresha na Kuipandisha Hadhi kuwa hospital ya Taifa ya magonjwa ya akili na wateja ndio kama wewe Sasa .

WB data 2023 👇👇
Screenshot_20241024-073208.jpg
Screenshot_20241023-174653.jpg
 
usnambie mambo ya budget ambayo haipo kwa sasa

next budget when?? usinambia mambo ambayo hayapo kwa sasa mzee usiwe kama mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂

from 56trillion to 96trillion in just 3 yrs ahhh nimekubali mzee na hapo kuna madeni mengi yaliokopwa hvi karibuni hayajawekwa naamini yakiweka tumegonga 100trillion ndani ya miaka mitatu mitakatifu au sio 😁😁😁😁🙌🏻🙌🏻
Unaongea kama standard 2 😁😁😁😁

Kila mwaka Serikali Huwa inakuja na Mpango na Muongozo wa maandalizi ya Bajeti kuelekea disemba.

I wonder hivi wewe hapo hasa unachoelewa ni kipi kwenye masuala ya Uchumi na management yake? Naona Kila unachoongea unatoa Boko 😆😆.

Hata yakigonga 200trilion Kuna tatizo kwani?

Vipi tena hiyo 56T imetoka wapi wakati mlisema mnajenga Kwa pesa zenu na hamkopi? 🚮🚮🚮

Cheki hapa implementation ya Bajeti ya 2023/2024 hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB3WbLEPJ-s/?igsh=MXFrbnI1MWVvbTYwaQ==

Mwisho, Bajeti ya SSH ya mwaka 2025/26 ni mara 2 ya Bajeti ya Mwendazake ya 2020/21.

Extra ordinary performance
 
Imagine kukiwa na morara Tanzania?
Mtashangaa mnaishi kwa rented country.Kila kitu imeenda.
Too sad media imefinywa watu hawana sauti kabisa.
Mybe 2070 huko.
😂
Unadhani hawapo?

Wapo tu katafute Twitter wamejaa.

Good things hua inasaidia kuleta government response afadhali huyo Morara wenu ana adabu kuliko wetu hawa.

Kingine matumizi ya pesa ya serikali Kenya sio kama Tanzania eti Billion zitegwe alafu barabara isiwepo? Kwa viongozi naowajua wapenda sifa kupitia miradi sahau.
 
Back
Top Bottom