Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana kina napi na makamba pamoja na mafisadi wengine na machawa wao kama wewe mlipinga sana ujenzi wa JNHPP kumbe ni kwa maslahi ya Hawa mabwana zenu

RIP mwamba jiwe
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwanza umeskia deni linaenda trillion 100 sasa kutoka trillion 56 toka kipindi cha nyerere mpaka magufuli ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป
 
Hujui Kusoma? Ama hujui what interests are?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚.

Alafu mbona unafanya guess work? Mara Ksh 200,000, Mara 250,000 sasa leo umekuja na 260,000. Wewe maybe unaongelea 200 bob๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

By the way how much do you make in a year? I want see something ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Pole hiyo 250,000 daily earning kwangu yakuuuza pumba tu kabla ya final products Sasa kadiria kwa siku 180 kwa mwaka
 
No wonder you are poor. Ungejua tu financial literacy hata kidogo at least Ungekuwa mahali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ.

Kuuza kuku anybody can do, kuuza mayai anybody can do, kuuza mbuzi anybody can do.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Ndio maana nikikuambia huna maarifa ya maisha unakataa.
Twende taratibu,hizo saccos zako kwa mwezi zinakuingizia how much Kesh!?
 
Pole hiyo 250,000 daily earning kwangu yakuuuza pumba tu kabla ya final products Sasa kadiria kwa siku 180 kwa mwaka
Kumbe ulikuwa unaongelea revenue?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

You can have bigger revenue with smaller profit, here Iโ€™m talking about profit and remember my my initial investment is at a minimal risk of getting lost.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
tuzungumzie na yetu deni kutoka 56trillion mpaka 96 trillion in 3 good yrs ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na hapo bado mikopo ya current haijwekwa

au haturusiwi kusema tunyamaze??
Mkuu unamaliza energy zako kwa huyo jamaa.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kumbe ulikuwa unaongelea revenue?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

You can have bigger revenue with smaller profit, here Iโ€™m talking about profit and remember my my initial investment is at a minimal risk of getting lost.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Aya tuambie per month ni profit gani una make!?
 
No wonder you are poor. Ungejua tu financial literacy hata kidogo at least Ungekuwa mahali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ.

Kuuza kuku anybody can do, kuuza mayai anybody can do, kuuza mbuzi anybody can do.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Haha unadhani ni rahisi kihivyo jaribu uone
 
Ndio maana nikikuambia huna maarifa ya maisha unakataa.
Twende taratibu,hizo saccos zako kwa mwezi zinakuingizia how much Kesh!?
More than whatever you earn in a month, and remember the interest I get doesnโ€™t need my presence and time. Yani pesa unanifanyia kazi, I donโ€™t need to sweat or make my presence available ndio nipate pesa. Also remember there are no expenses๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Haha unadhani ni rahisi kihivyo jaribu uone
Ngojea atutajie hiyo faida anayotengeneza kwa mwezi.
Shida jamaa hana maarifa ya maisha.
Anashindwa kuelewa katika huo huo uuzaji wa kuku kuna small scale,medium scale and large scale poetry.
Na kila moja ina namna yake ya kuifanya na ina kiwango chake cha faida.
Hapa ndipo utakuja gundua jamaa akili mgando.
 
niletee ushahidi wa GDP na mm nione kwq macho yangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Magonjwa ya Afya ya akili yameanza kuwa serious Sasa ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Screenshot_20241024-071354.jpg
 
More than whatever you earn in a month, and remember the interest I get doesnโ€™t need my presence and time. Yani pesa unanifanyia kazi, I donโ€™t need to sweat or make my presence available ndio nipate pesa. Also remember there are no expenses๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kaka we are discussing wewe taja kiasi hata kwa makadirio.
Do you know how much do I earn per month!?
Acha bangi na miraa, mention the exact amount.
 
Back
Top Bottom