Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana kina napi na makamba pamoja na mafisadi wengine na machawa wao kama wewe mlipinga sana ujenzi wa JNHPP kumbe ni kwa maslahi ya Hawa mabwana zenu

RIP mwamba jiwe
😂😂😂😂 kwanza umeskia deni linaenda trillion 100 sasa kutoka trillion 56 toka kipindi cha nyerere mpaka magufuli 🙌🏻🙌🏻
 
Hujui Kusoma? Ama hujui what interests are?😂😂🤣😂.

Alafu mbona unafanya guess work? Mara Ksh 200,000, Mara 250,000 sasa leo umekuja na 260,000. Wewe maybe unaongelea 200 bob😂😂🤣😂

By the way how much do you make in a year? I want see something 😂😂🤣
Pole hiyo 250,000 daily earning kwangu yakuuuza pumba tu kabla ya final products Sasa kadiria kwa siku 180 kwa mwaka
 
No wonder you are poor. Ungejua tu financial literacy hata kidogo at least Ungekuwa mahali😂😂🤣.

Kuuza kuku anybody can do, kuuza mayai anybody can do, kuuza mbuzi anybody can do.😂😂🤣
Ndio maana nikikuambia huna maarifa ya maisha unakataa.
Twende taratibu,hizo saccos zako kwa mwezi zinakuingizia how much Kesh!?
 
Pole hiyo 250,000 daily earning kwangu yakuuuza pumba tu kabla ya final products Sasa kadiria kwa siku 180 kwa mwaka
Kumbe ulikuwa unaongelea revenue?😂😂🤣😂

You can have bigger revenue with smaller profit, here I’m talking about profit and remember my my initial investment is at a minimal risk of getting lost.😂😂
 
tuzungumzie na yetu deni kutoka 56trillion mpaka 96 trillion in 3 good yrs 😂😂 na hapo bado mikopo ya current haijwekwa

au haturusiwi kusema tunyamaze??
Mkuu unamaliza energy zako kwa huyo jamaa.
😂😂😂😂😂😂
 
Kumbe ulikuwa unaongelea revenue?😂😂🤣😂

You can have bigger revenue with smaller profit, here I’m talking about profit and remember my my initial investment is at a minimal risk of getting lost.😂😂
Aya tuambie per month ni profit gani una make!?
 
Ndio maana nikikuambia huna maarifa ya maisha unakataa.
Twende taratibu,hizo saccos zako kwa mwezi zinakuingizia how much Kesh!?
More than whatever you earn in a month, and remember the interest I get doesn’t need my presence and time. Yani pesa unanifanyia kazi, I don’t need to sweat or make my presence available ndio nipate pesa. Also remember there are no expenses😂😂
 
Haha unadhani ni rahisi kihivyo jaribu uone
Ngojea atutajie hiyo faida anayotengeneza kwa mwezi.
Shida jamaa hana maarifa ya maisha.
Anashindwa kuelewa katika huo huo uuzaji wa kuku kuna small scale,medium scale and large scale poetry.
Na kila moja ina namna yake ya kuifanya na ina kiwango chake cha faida.
Hapa ndipo utakuja gundua jamaa akili mgando.
 
niletee ushahidi wa GDP na mm nione kwq macho yangu 😂😂😂😂😂😂😂
Magonjwa ya Afya ya akili yameanza kuwa serious Sasa 😄😄👇👇
Screenshot_20241024-071354.jpg
 
More than whatever you earn in a month, and remember the interest I get doesn’t need my presence and time. Yani pesa unanifanyia kazi, I don’t need to sweat or make my presence available ndio nipate pesa. Also remember there are no expenses😂😂
Kaka we are discussing wewe taja kiasi hata kwa makadirio.
Do you know how much do I earn per month!?
Acha bangi na miraa, mention the exact amount.
 
Back
Top Bottom