The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Mwanamuziki wangu bora kabisa na mtu maarufu zaidi kuwahi kuishi duniani, just imagine enzi hizo hakuna social media lkn jamaa alijulikana na kila mtu kama unavyoona leo hii mtu kama Cristiano Ronaldo, lkn kwa maoni yangu Cristiano hafikii hata nusu ya umaarufu wa MJ.
Leo hii jamaa hayupo lkn unakuta ukimuuliza mtoto wa miaka 7 anamjua. Noma sana huyo mtu, tumkumbuke kwa moja ya nyimbo yake matata kabisa, Be mine 👇👇
View: https://youtu.be/O3tnOVideSo?si=b7PKUsaigPBDnEsz