Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unadhani utakua tajiri kwa kukalisha mapumbu kwenye ofisi za watu siku sita za wiki.? 😂😂😂😂. Umezaliwa bush, hujaenda popote zaidi ya nairobi ambapo bila kusoma ungeishia kupaskia tu 😂😂

Wewe mtoto ni mpumbavu sana, kazi yako kupost salary slip 😂😂 nikikuonyesha pesa yenye ni pesa ya mfuko wa shati tu unababaika, mzembe utakufa maskini. 😂😂😂
Anakuambia yeye ni muwekezaji kisa anacheza bitcoin, na wakenya wengi ndiyo michezo yao, bitcoin na betting coz no job opportunities za kutosha huko Kenya, vijana wengi ni kamari na wizi tu, Kenya ni typical failed state and shit hole 🕳️ at the same time.
 
heheheh ChoiceVariable kwa hapa sasa nimekubali 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻


View: https://x.com/millardayo/status/1852321771849974252?s=46

Kwanza hakuna Cha ajabu Wal Cha kubabaisha Nchi.

GDP size 215Trilion less National Debt 97T yaani kiufupi Bado tuko chini ya 50%

Mwisho kushuka Kwa Shilingi vs Dola ndiko kumeongeza sana deni ,hata hivyo mnapenda miradi ila mnajifanya hamjui kwamba ni mikopo
-DMDP2

View: https://youtu.be/zvVEUBwFe5M?si=Ma7C0Nzurjy7fwaR


-Madaraja 93 ya TanRoads

View: https://www.instagram.com/p/DB1lZmTqFl2/?igsh=MW4wb29kNGJhdGpjNg==
 
Nairobi is three times wealthier than Dar.
Nairobi is a tier one city while Dar is a tier two just like Mombasa.
Nairobi is the African leading City while Dar isn’t even considered among the best.
Nairobi is the 6th Most Dynamic City in the world while Dar is non existence.
Nairobi is the East African capital and financial backbone while Dar is in the level of Kisumu.
Wakenya hakuna kitu mnaweza maana biashara zote zipo chini ya wasomali na nyie ndo mmekuwa mabakitatu wao au mkimbilie utumwani Gulf
 
That’s not financial literacy, kuuza kuku inaezafanywa hata na vichaa😂😂😂🤣.

I’m Talking about;

Treasury Bonds
Treasury Bills
Offshore stocks purchase
Money Market Fund
Real Estate Investment Trust
Local Stock Purchase
Mutual funds
Saccos

Ni gani unajua Kati ya hizo?😂😂
😂😂😂😂😂😂Dooooh kumbe akili wewe huna!??
Ndio maana nikasema maarifa ya maisha wewe huna.
Mimi ninajikita katika project kubwa kuliko hizo.
1)Nina knowledge ya madini hususan gemstones.Hapa nilipo kuna watu na leseni zao wananifuata kila nikiwafanikishia mzigo wananipa 30% ya faida.
Wewe kaa tegemea hivyo vi saccos vyako.
2)Elimu ya mifugo usiichukulie simple,iwe ufugaji kuku au ng'ombe.Sio kila anayefuga kuku basi anafanikiwa.Embu nenda kaulize large scale poetry/ livestock trading ikoje.
Mimi nina maarifa ya maisha na vitu tangible ambavyo vinaleta manufaa ya papo na hapo yanayoonekana ikiwezekana na kuajiri watu wengine zaidi.
Huna maarifa ya maisha kijana.
Kwahiyo ukikaa na wadogo zako ukiwa unawaelekeza maarifa ya utaftaji utaishia kuwaambia kuhusu saccos na treasury bonds!?
😂😂😂😂😂😂😂😂Aiseee yani una akili iliyojifunga.

Sama boy 255 njoo kaka umchukue kijana wako.
 
Can you earn 250,000 ksh per day with this? If not possible kubali ufundishwe business acha na treasury stocks hazitakupeleka mbali
Ndio maana namwambia hana maarifa ya maisha.
Hana kabisa maarifa ya maisha huyu jamaa,ana akili mgando sana.
 
Mkoa wa Kimkakati
Ndo maana kina napi na makamba pamoja na mafisadi wengine na machawa wao kama wewe mlipinga sana ujenzi wa JNHPP kumbe ni kwa maslahi ya Hawa mabwana zenu

RIP mwamba jiwe
🚮🚮🚮
20240626_202815.jpg


Kazi inaendelea 👇

View: https://www.instagram.com/p/DB1zw_oIE39/?igsh=MWV2c3Fja2xqandwbA==
 
Back
Top Bottom