Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mwenye anajua hawa. Wakati Kenya is hosting the likes of Chris Brown nyinyi mnaleta failures in the music industry 😂😂🤣
Wewe bado mdogo ukikua utaacha

1730497822536.png
 
Ndio maana ulifukuwa na Shakira. Huwezi fanya kazi

View attachment 3141039
Unajiskiaje kuiba picha ya wengine hili ushindane na kijana mdogo?😂😂🤣😂

Unajionaje ukiomba lift kwa gari ya pastor na kupiga picha hili ushindane na kijana mdogo?😂😂🤣😂

I’m younger than you by tens of years lakini nimekushinda mara dufu shoga hii😂🤣
 
Ndio maana nikasema huna maarifa ya maisha.
Kuna formal and informal education or knowledge.
Je unalijua hilo!?
About financial literacy hunipati maana mimi nimeanza kujitaftia ama entrepreneurship nikiwa 19 years of age mara tu baada ya kumaliza school.
Kuku wewe.
That’s not financial literacy, kuuza kuku inaezafanywa hata na vichaa😂😂😂🤣.

I’m Talking about;

Treasury Bonds
Treasury Bills
Offshore stocks purchase
Money Market Fund
Real Estate Investment Trust
Local Stock Purchase
Mutual funds
Saccos

Ni gani unajua Kati ya hizo?😂😂
 
That’s not financial literacy, kuuza kuku inaezafanywa hata na vichaa😂😂😂🤣.

I’m Talking about;

Treasury Bonds
Treasury Bills
Offshore stocks purchase
Money Market Fund
Real Estate Investment Trust
Local Stock Purchase
Mutual funds
Saccos

Ni gani unajua Kati ya hizo?😂😂
Can you earn 250,000 ksh per day with this? If not possible kubali ufundishwe business acha na treasury stocks hazitakupeleka mbali
 
Can you earn 250,000 ksh per day with this? If not possible kubali ufundishwe business acha na treasury stocks hazitakupeleka mbali
Obviously you don’t know what Treasury Bills and Bonds are. Na hakuna kitu inaitwa Treasury stock, huwa nakuambia wewe ni low IQ na huskii😂😂🤣.

On earning maybe you are earning 250 bob per day😂😂
 
Back
Top Bottom