Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

80% of Tanzanians are poor while 56% of Tanzanians are extremely poor. Which category do you belong in between poor and extremely poor?😂😂
FB_IMG_1730449894092.jpg

Naona matajiri mnaiba ugali kwenye maandamano
 
Kila kitu kinatengenezwa nje wewe unafunga bolt kwa commission ambayo haifiki 10 % ya total MSRP price

A knock-down kit (also knockdown kit, knocked-down kit, or simply knockdown or KD) is a collection of parts required to assemble a product. The parts are typically manufactured in one country or region, and then exported to another country or region for final assembly. CBU, on the other hand, stands for "Completely Built Up" and signifies import of a finished product.
Buy Kenya Build Kenya. Mtaendelea kununua Marcopolo Kenya Mpende msipende.
 
You showed baseless accusations, no data. So kama wewe unaijua ilete hiyo data.
It’s not accusations, hiyo ilikuwa reality. World and IMF only release reports after doing extensive research.
 
Safaricom ownership
Vodacom imebeba 40% ya shares huku serikali yenu ikiwa na 35, kwa hivyo Vodacom ambayo sio Kenyan company in kura ya turufu kuliko serikali yenu , Vodacom akisema simtaki teargas kuwa body member hata Ruto aingilie hawi

Our shareholding structure changed during the year and is currently comprised of the Government of Kenya (35 per cent), Vodacom (35 per cent), Vodafone (5 per cent) and free float (25 per cent). * Company holds an indirect interest in Safaricom through a wholly-owned subsidiary, Vodafone Kenya
Hueleweki, you asked me to show you most profitable companies in East Africa, after showing you that all the top 5 come from Kenya ukaanza kulialia tena😂😂🤣. For your information, Safaricom is 60% owned by Kenyans.
 
KCB Group Limited Stock Ownership
RankName of OwnerPercentage Ownership
1Permanent Secretary to the Treasury of Kenya19.76
2National Social Security Fund (Kenya)9.73
11Other Shareholders via the NSE, DSE, USE and RSE70.51
Total100.00

Zaid ya 70% inamilikiwa kupitia stock market nyingine kama dar stock market kwahiyo wenye kura turufu kwa asilimia 70 ni wageni nyinyi hamna Cha maana
I think you are just stupid. KCB is 89.14% owned by Kenya s😂😂🤣👇👇

1730475512317.jpeg
 
Back
Top Bottom