Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli upi nyie mnayo haya tupe maelekezo Emu yenu mmefanyaje hadi haikwami porini
Sisi trains zetu hazikwami porini. Ni aibu kwa nchi kuwa na train inakwama mara nane kwa mwezi😂😂
 
Viti za train vinafanana na vya vibanda😂😂🤣

1730484621495.jpeg
 
Alinivaliaga kiatu hicho kimepinda kama kangaroo.
Nikamletea mfano wa kiatu kizuri nitakirusha humu,akadai chake kizuri alooo😂😂😂😂😂😂😂.
Uliogenzwa mshahara ama bado unalipwa gross ya Ksh15,000?😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom