Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani alisema hizo ni brands za Kenya? Kitu tunajivunia hapa ni kwamba the body was built in Kenya, chassis was assembled in Kenya. Kila kitu ilifanywa Kenya kisha watanzania wakanunua kwa mkopo😂😂
Eti body parts are built in Kenya mnachofanya ni kufungua bolt tu Kila kitu kinakuja kwa box kikiwa maelekezo.
 
Eti body parts are built in Kenya mnachofanya ni kufungua bolt tu Kila kitu kinakuja kwa box kikiwa maelekezo.
The final product inatolewa na wakenya and that’s why it’s written built in Kenya. Wewe kama hupendi ama hugurahishwi basi me za wembe 😂😂🤣
 
Nani alisema hizo ni brands za Kenya? Kitu tunajivunia hapa ni kwamba the body was built in Kenya, chassis was assembled in Kenya. Kila kitu ilifanywa Kenya kisha watanzania wakanunua kwa mkopo😂😂
Tuoneshe body na chassis being built. Au unajua maana ya built hasa.

Wafunga nati wanajiita built?

Acha kuwa delusional kijana hakuna kitu cha Kenya hapo, eti body being built unajua hata kwanini inaitwa Scania MARCOPOLO emphasis on Marcopolo?
 
Here it is, can you see the AVA logo and below it “Built in Kenya”😂😂😂👇👇

View attachment 3140624
Haha eti akishindwa kulipa zirudishwe Kenya , hivi unajua hata utaraibu wa manunuzi wa scania.
Yaan nyinyi ni mahousegirl mnatengeneza halafu mabosi tunanunua . Yaan ni kama housemaid anapika chakula kwa ajili ya mabosi kula chakula
 
Tuoneshe body na chassis being built. Au unajua maana ya built hasa.

Wafunga nati wanajiita built?

Acha kuwa delusional kijana hakuna kitu cha Kenya hapo, eti body being built unajua hata kwanini inaitwa Scania MARCOPOLO emphasis on Marcopolo?
I thought ulisema nisipewe credit how come you are still replying to me? Ama wengine ndio hutaki wanijibu hili unijibu pekee yako? Hiyo ni uchoyo😂😂🤣😂
 
Haha eti akishindwa kulipa zirudishwe Kenya , hivi unajua hata utaraibu wa manunuzi wa scania.
Yaan nyinyi ni mahousegirl mnatengeneza halafu mabosi tunanunua . Yaan ni kama housemaid anapika chakula kwa ajili ya mabosi kula chakula
Buy Kenya Build Kenya, na sio basi pekee yake. Almost all 90% of Scania trucks in Tanzania comes from Kenya😂😂🤣😂.

All Toyota Landcruiser in Tanzania come from Kenya😂
 
Mpumbavu sana. Watu wamenunua Scania yenye body from Marcopolo.

Kuna mfunganati anajipa umhimu kuliko wenye kampuni wenyewe kisa kastika ka garage ya kufunga nati?
Anajua basi mpaka Leo toka wamepewa ufunga nati wameshindwa kununua units hata 30 wakati yutong tu kwa miezi sita anakimbikia units 200 kwa Tanzania tu
 
Back
Top Bottom