Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila wewe sijui nikuweke kwenye kundi gani siyo Cosmetic Project tena nahapo bado mzigo utaelewa tu ni wapi kama nchi tunapaswa kuelekea ni swala la mda tu
Cosmetic project ni Ile ambayo haileti pesa.

Acha wenge subiria operation baada ya mda ndio mambo yatajukikana vizuri saizi Kuna Ile inaitwa kipya kinyemi yaani demu Mpya lazima uwe na wenge baada ya Jumla ndio Utajua hamna kitu.
 
√ Sgr wameambulia ya makaa ya mawe ya mwa 1947
√ Brt wameambulia kupaka lipstick barabarani
√ Stand za mabasi hawana hata moja
√ Slum kila kona ya Nchi
√ Njaa ndiyo usiseme kila mwaka wafa kwa njaa
Tanzania ikiamua jambo lake hivi vinchi vya East and central Africa huwa vinatii, sisi ndiyo wenye akili kubwa hapa EA, huwa hatukurupuki.
 
dodoma
IMG_0832.jpeg
 
Back
Top Bottom