Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu nimeapa hii mada tuiache tu maana hapa tukiongelea itaonekana tuko kisiasa wakati sivyo. Ili tuendelee lazima tutengeneze system sio hii ya Sasa hivi ambayo maendeleo tunayaangalia kwa jina la mtu.
Tuachane na hii mada
asante kwa kua msikivu tuendelee na dabi yetu na hawa mbwa kutoka kenya😂
 
Du kumbe akina tiwa ges tunao wengi sana humu
Mkuu wacha hizi siasa zako maji taka au nitaku ignore kwasababu unaongopa, ni upuuzi kuendelea kumpa credit Samia kwa miradi ya Magufuli japo wote tunajenga nyumba moja, hata Samia mwenyewe anajua exposure kaipata wapi, leo hii Rais yeyote wa Tanzania anajua jukumu alilonalo kwa wananchi, ni miradi ya uhakika na sio yale mambo ya neti enzi zile. Leo hii Magufuli amefanya jirani zetu wanatuheshimu, hivi nikuulize swali, kama asingepita Magufuli alafu angeanza Samia, je, leo hii tungeona hii miradi mikubwa inayoendelea? Acheni unafki au nikupige ban, sipendi ujinga kwenye vitu serious, tafadhali sanaa mkuu.

Sinaga muda wa kupoteza, hawa wavamizi wa hii battle wanaotoka jukwaa la siasa kule sinaga muda nao, natembeza ban tu. Mtu anakuambia eti magu hajafanya kitu, anaakili timamu kweli huyo? Kabla ya magu hakuwahi hata kuthubutu kuanzisha battle, leo hii wamepata cha kuongea wanaleta jeuri, sasa napiga pini tu.
View attachment 3131872

Ununuzi wa ndege haukuwa kwenye mipango ya serikali yeyote. SGR ilikuwa kwenye mipango tangu Mkapa na plan ilikuwa diesel kama ya Wakenya, Kikwete na serikali yake waliweka mpira kwapani.
Bwawa la umeme la Nyerere halikuwa kwenye plan ya yeyote ukiachia awamu ya Nyerere.
Umeme na maji ni awamu zote lakini angalia utekelezaji wake kwa kila awamu.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1841633931545690420

Miradi mingi usingeweza kuiona mpaka unakufa kama sio Magufuli. Marais wengi wealikuwa waoga na hawana uthubutu,
 
Mm 2017 nilikuwa nachungulia na kutoka nduki na hata sikutaka kuwa na acaunti maake tulikuwa tunapigwa ko mda mfupi tu mambo yaka badilika hadi waleo kunyani wanatugwaya ni kwa sababu ya JPM
kaka hili group sio la siasa hilo moja alaf la pili hakuna rais aliwahi kua na uthubutu wa jambo lolote kama magufuli hata leo ukimuamsha mtu alielala sasa hvi hawez kupepesa macho kwenye hili, leo tunazungumza Air tanzania kifua mbele kwasababu yake, leo tunavimba na SGR kwasabbau yake, leo tunanyanyua kwapa kua na umeme wa uhakika kwasababu alifanya maamuzi magumu yaliowashinda wengi kama kujenga bwawa la rufiji ambalo wazungu hawakutaka kuona bwabwa lile likijengwa, leo tunaona stendi za bus kila mkoa ni kwasababu alithubutu kufanya hvo na sio kufanya tu mpaka kusimamia, leo tunaongelea bandari ya dar tanga na mtwara kuboreshwa yote aliyafanya kwa maamuzi magumu sana hata kukataa bagamoyo port ni kwaajili ya maslahi ya taifa hili, kabla yake tanzania ilikua inayetemea rada moja, leo hii tanzania ina rada zisizopungua tano za kisasa ni kwa uthubutu wake, hospitali ziliboreshwa na maadili ya watumishi wa uma yalirudi, leo hii jaribu kupeleka pua yako amana hospital au hospital yoyote ya serekali ukaone vituko, mm nilienda amana hospital kipindi cha awamu ya magu huduma nilioipata tena kwa unyenyekevu siwez ipata pale tena kamwe, hakuna tena nidhamu hakuna uoga kabisaa yani yamerudi mambo yaleeeeee ya enzi za mkwere,

hebu ww taja mradi mmoja aliacha kikwete haukukamilika mradi ambao unatija na taifa hili hebu taja nione

leo tunajivunia flyovers na interchanges yote sikwasababu ya uthubutu wake au unafkiri zinashushwa kutoka mbinguni??

hawa wakenya unaobishana nao walikua hawana raha kipindi chake na mpaka leo waulize watakwambia alioipaisha tanzania ni nani mpaka sasa ni tishio kwao watakwambia magufuli tena very clear


angalia athari za corona zilivoangamiza africa unafkiri isingekua utayar na thubutu wake tungekua kwenye hali gani???? magu was a pure genius, amelinusuru sana hili taifa kwa uwezo aliojaaliwa na MUNGU, hatusemi hakua na mapungufu lakini tukiweka mizani pia itatupa majawabu

bro ngoja nikwambie kitu hakuna vita mbaya duniani kama vita vya uchumi usiombe hio vita, ndio vita alivopigana magufuli kufufua shirika kama air tanzania ambalo lilikua na madeni chungu mzima na bado lilihujumiwa na na precision air pamoja na kenya airways kwa miaka mingi sana is not a joke mzee hio vita acha kabisa

tuendeleee kula supu nyama tutazikuta chini
 
Ununuzi wa ndege haukuwa kwenye mipango ya serikali yeyote. SGR ilikuwa kwenye mipango tangu Mkapa na plan ilikuwa diesel kama ya Wakenya, Kikwete na serikali yake waliweka mpira kwapani.
Bwawa la umeme la Nyerere halikuwa kwenye plan ya yeyote ukiachia awamu ya Nyerere.
Umeme na maji ni awamu zote lakini angalia utekelezaji wake kwa kila awamu.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1841633931545690420

Miradi mingi usingeweza kuiona mpaka unakufa kama sio Magufuli. Marais wengi wealikuwa waoga na hawana uthubutu,

Wewe jamaa pia na hizi tweets zako zenye hazina interactions 😂😂😂🤣.

Yani post ni ya 20 days ago and only have one like which is yours, kwa hiyo tweet sijui umetag watu karibu Mia lakini bado hakuna interactions. Focus tu na JF at least utapata likes za wajinga kama watchman aka The best 007 , baboon aka Sama boy 255 and gay aka Venus Star 😂😂😂🤣
 
Faith Kipyegon hukimbia mbio ya 1,500m. Ndani ya dakika nne amemaliza kazi. Anakimbia kama mara kumi mwaka mzima (competitive races).

Tanzania vipaji vya mpira hamna. Ushindi mmoja ambao tayari tulikuwa tushawapiga pia with the same margin ndio mnajigamba nao. Acha tuone ni Kenya ama Tanzania ita-perform vizuri zaidi hiyo U20 Afcon.

View attachment 3131748View attachment 3131749
One of the reasons lots of Athletes take on road racing is coz the pay is higher especially with records… recently I posted the official earnings of Faith Chepngetich breaking the world marathon record in Chicago last week … in under 3 hours, she earned $700000 … ( I broke it down.. check my earlier post) how much is that in Kenyan shillings ?… and that Bongolala was saying???..😂😂😂
 
Mkuu unakumbuka kuwa magu alivunja mpaka katiba kwa kumuondoa aliyekuwa CAG ludovick utouh hasa baada ya kukosoa sana uendeshaji wa miradi yake, mfano tu alikosoa sana utaratibu wa ununuzi wa ndege, kama kweli alikuwa anafanya vyema ikawaje akapanga mpaka kumuondoa Cag kinyume na taratibu.
Kama alikuwa anataka usafi asinge muondoa utouh hasa baada ya kuona ripot zake ziliibua wizi uliokuwa unaendelea .
Ishu ya Samia sijasema kuwa haibiwi lakini point Iko hivi ndani ya muda mfupi kafanikisha kumaliza mpaka miradi ambayo aliacha magu wakati magu alipoingia madarakani Kuna miradi kibao ya kikwete kama bagamoyo port ,denge eco village na kadha wa kadha Aliitangaza kuwa Ina ufisadi na akaitelekeza , Kuna barabara kibao alizoziacha kikwete zimekuja kamilika na baadhi ujenzi wake kufufuliwa kipindi Cha Samia eg tabora - manyoni lakini tukiwaambia humu mnasema kampeni.
Magu alianzisha miradi mingi ambayo hakuimaliza na mingi ilikuwa siasa huyu karidhi miradi viporo mingi. Kwahiyo mnachotaka aiache Ile ya magu ife kama alivyofanya magu kwa ya kikwete ndo tuanze kumsifia
Huko unazunguka sana aiseee.
Hivi miradi ya Magufuli unaifananisha na miradi ya kiongozi yupi mkuu??
Miradi ya Magufuli yote ni vital ambayo ingekamilika ni kuiinua hii nchi kiuchumi.
Ila miradi ya Kikwete mingi ilikua ya upigaji na unufaishaji wa mstaafu na genge lake.
Unakumbuka na sakata la Kurasini!??
Yule mkwere mwizi tu kupindukia.
Kuhusu la CAG sina comment juu ya hilo.
Ila miradi ya marehemu ilikua ni game changer aisee.
*Madaraja.
*SGR
*JNHPP/Stiglers gorge.
 
Mm 2017 nilikuwa nachungulia na kutoka nduki na hata sikutaka kuwa na acaunti maake tulikuwa tunapigwa ko mda mfupi tu mambo yaka badilika hadi waleo kunyani wanatugwaya ni kwa sababu ya JPM

Kuweka tu umeme imemchukua Kikwete miaka 10 vijiji 2,000. Kikwete aliitaji miaka miaka 20 kwa kila vijiji 4,000 na miaka 40 kwa vijiji 8,000 na hapo anapokea zaidi ya $600M ya MCC toka USA. JPM kapiga vijiji 8,000 kwa miaka 5 tu.
Kuna baadhi ya vichwa maji wanajitoa ufahamu!
 
Wewe jamaa pia na hizi tweets zako zenye hazina interactions 😂😂😂🤣.

Yani post ni ya 20 days ago and only have one like which is yours, kwa hiyo tweet sijui umetag watu karibu Mia lakini bado hakuna interactions. Focus tu na JF at least utapata likes za wajinga kama watchman aka The best 007 , baboon aka Sama boy 255 and gay aka Venus Star 😂😂😂🤣
Hawana majibu unatarajia wajibu nini?
Mimi siitaji likes or engagements bali nataarifu or kuwasanua wenye vichwa vya kusukumwa kama gari bovu.
 
Huko unazunguka sana aiseee.
Hivi miradi ya Magufuli unaifananisha na miradi ya kiongozi yupi mkuu??
Miradi ya Magufuli yote ni vital ambayo ingekamilika ni kuiinua hii nchi kiuchumi.
Ila miradi ya Kikwete mingi ilikua ya upigaji na unufaishaji wa mstaafu na genge lake.
Unakumbuka na sakata la Kurasini!??
Yule mkwere mwizi tu kupindukia.
Kuhusu la CAG sina comment juu ya hilo.
Ila miradi ya marehemu ilikua ni game changer aisee.
*Madaraja.
*SGR
*JNHPP/Stiglers gorge.
Bodaboda! Ujinga mtupu!
 
Kuweka tu umeme imemchukua Kikwete miaka 10 vijiji 2,000. Kikwete aliitaji miaka miaka 20 kwa kila vijiji 4,000 na miaka 40 kwa vijiji 8,000 na hapo anapokea zaidi ya $600M ya MCC toka USA. JPM kapiga vijiji 8,000 kwa miaka 5 tu.
Kuna baadhi ya vichwa maji wanajitoa ufaham

Kuweka tu umeme imemchukua Kikwete miaka 10 vijiji 2,000. Kikwete aliitaji miaka miaka 20 kwa kila vijiji 4,000 na miaka 40 kwa vijiji 8,000 na hapo anapokea zaidi ya $600M ya MCC toka USA. JPM kapiga vijiji 8,000 kwa miaka 5 tu.
Kuna baadhi ya vichwa maji wanajitoa ufahamu!
Magufuli apewe heshima yake. Kikwete hamna kitu. Kwanza amezidiwa hadi na Samia Suluhu kwenye swala la maendeleo. Kikwete was more of a strategist. Kwanza hakuna kitu alifanya Kwa pesa za ndani. Kuku Santa Kodi tu kulimshinda.
 
Huko unazunguka sana aiseee.
Hivi miradi ya Magufuli unaifananisha na miradi ya kiongozi yupi mkuu??
Miradi ya Magufuli yote ni vital ambayo ingekamilika ni kuiinua hii nchi kiuchumi.
Ila miradi ya Kikwete mingi ilikua ya upigaji na unufaishaji wa mstaafu na genge lake.
Unakumbuka na sakata la Kurasini!??
Yule mkwere mwizi tu kupindukia.
Kuhusu la CAG sina comment juu ya hilo.
Ila miradi ya marehemu ilikua ni game changer aisee.
*Madaraja.
*SGR
*JNHPP/Stiglers gorge.
Na Chato airport?
 
Back
Top Bottom