Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ok, unaweza kunitajia hiyo miradi japo mitano ambayo ni massive aliyoanzisha ili tujaribu kufanya comparison?
Sawa boss
1.Ujenzi wa madarasa 12,000= bil 240 umekamilika
2.ujenzi wa shule 25 za wasichana kwa Kila mkoa bil 106.6
3. Phase 3 ,4 ,6 yote hiyo ya sgr yote Iko katika hatua za ujenzi ni itakamilika , phase 3 washamaliza kifusi karibia njia nzima phase 5 sijaweka kwa sababu aliizindua magu ila ujenzi umeanza kipindi Cha Samia.
Maboresho ya shule kongwe kwa halmashauri 183 @650,000,000
Kuna ujenzi wa emd kwa halmashauri zote @ 250,000,000
Ujenzi wa shule mpya Kila halmashauri sekondari
650,000,000
Hiyo ni upande wa tamisemi
Idara ya maji
Maji toka mto ruvuma chini ya ruwasa= 30bil
Hapa ukiingia ruwasa utakutana na orodha ya hiyo miradi ni zaid ya 20
Na yote Iko katika hatua kubwa na imeanza mwaka 2023


Sasa ulitaka aimalizie akiwa kaburini? Kama hii mingine yote aliianzisha na mnaimalizia mnashindwaje kumalizia hiyo mingine, tuache kujificha kwenye kivuli cha marehemu, alituanzishia kwa lengo zuri ni kazi yetu kuimalizia, tofauti ya magu na marais wengine ni kwamba yeye alithubutu, hao wengine waliogopa hata kuthubutu, wakaishia kujitajirisha wenyewe. Tumpe heshima yake tuendelee kujenga taifa.
Hatumlaumu ila hata kama alianzisha miradi je alifikisha hata nusu ya miradi aliyoianzisha.
Kumbuka aliingia 2015 na mpaka anaondoka barabara ya tabora itigi ilikuwa imesimama hakuna Hela na miradi mingi ilikuwa imesimama.
Bosi Kuanzisha miradi kwa mihemuko ndo kilichotuponza enzi za marehem.
Mind you watu walisugua benchi miaka 5 bila nyongeza ya mshahara Wala kuajiriwa tukiambiwa tunajenga nchi. Sasa kama inajenga reli au barabara ila huwawezeshi watu kupata mlo nani angepanda .
Watu wanaona mabaya ya Samia kwa sababu kaamua kuwa mkimya kipindi Cha magu tulifungwa hatukujua kinachoendele
 
Sawa boss
1.Ujenzi wa madarasa 12,000= bil 240 umekamilika
2.ujenzi wa shule 25 za wasichana kwa Kila mkoa bil 106.6
3. Phase 3 ,4 ,6 yote hiyo ya sgr yote Iko katika hatua za ujenzi ni itakamilika , phase 3 washamaliza kifusi karibia njia nzima phase 5 sijaweka kwa sababu aliizindua magu ila ujenzi umeanza kipindi Cha Samia.
Maboresho ya shule kongwe kwa halmashauri 183 @650,000,000
Kuna ujenzi wa emd kwa halmashauri zote @ 250,000,000
Ujenzi wa shule mpya Kila halmashauri sekondari
650,000,000
Hiyo ni upande wa tamisemi
Idara ya maji
Maji toka mto ruvuma chini ya ruwasa= 30bil
Hapa ukiingia ruwasa utakutana na orodha ya hiyo miradi ni zaid ya 20
Na yote Iko katika hatua kubwa na imeanza mwaka 2023



Hatumlaumu ila hata kama alianzisha miradi je alifikisha hata nusu ya miradi aliyoianzisha.
Kumbuka aliingia 2015 na mpaka anaondoka barabara ya tabora itigi ilikuwa imesimama hakuna Hela na miradi mingi ilikuwa imesimama.
Bosi Kuanzisha miradi kwa mihemuko ndo kilichotuponza enzi za marehem.
Mind you watu walisugua benchi miaka 5 bila nyongeza ya mshahara Wala kuajiriwa tukiambiwa tunajenga nchi. Sasa kama inajenga reli au barabara ila huwawezeshi watu kupata mlo nani angepanda .
Watu wanaona mabaya ya Samia kwa sababu kaamua kuwa mkimya kipindi Cha magu tulifungwa hatukujua kinachoendele
1. Hiyo miradi ya kujenga shule ni ya kawaida hata paka angekuwa raisi angejenga, unajua Magufuli alijenga na kukarabati shule ngapi? Nina uhakika more than 50% ya shule ulizosema kajenga Samia zilianza kujengwa na Magufuli.
2. Barabara hata raisi angekuwa chizi kama Ruto bado angejenga, kuhusu SGR tulikubaliana uweke miradi aliyoanzisha tu, usiguse SGR, wala JNHPP mana kumalizia ilikuwa lazima imaliziwe kwasababu pesa haitoki mfukoni kwa mtu bali inatoka kwa serikali, hapo tunaongelea akili ya kuanzisha miradi.
3. Kuhusu raia kupata shida, mkuu ulitaka kujenga vitu vizuri huku ukipata raha? Unajua developed countries zimefikaje hapo zilipo? Kama mnataka cheap cheap investment kama zinazofanyika sasa (BRT vibarabara vyembamba plus mradi kuyumba) sawa mtajengewa huku mnapata raha, lkn huko mbeleni gharama yake ni kubwa, itabidi tubomoe tuanze kujenga tena, lkn kama mnataka miradi yenye vision ya muda mrefu huwezi kupata raha huku unafanya maendeleo ya kweli, waulize wakenya na make up investment zao, leo hii hata chakula mezani kinawashinda lkn watakuonesha vighorofa viwili vitatu vya uongo na kweli, tuache propaganda tufanye maendeleo ya kweli.
 
Reli zimekuwepo kabla, gharama zilioungua? Na baada ya kupungua unaweza nipa mchango specific wa reli kwenye kukuza Uchumi?

Mwisho reli ni muhimu pale tuu Ukiwa na matured and vibrant economy ambapo basic infrastructures zinakuwa zimeshajengwa.

Huna Barabara za kuunganisha Mikoa Yako harafu unasema reli ni muhimu?
Reli ni muhimu kuliko udhaniavyo wewe.
Sio tu usafirishaji mizigo bali hata usafirishaji watu.
Aliyekosea ni baba Mkapa kuibinafsisha.
Ila reli ni kitu muhimu sana.
 
1. Hiyo miradi ya kujenga shule ni ya kawaida hata paka angekuwa raisi angejenga, unajua Magufuli alijenga na kukarabati shule ngapi? Nina uhakika more than 50% ya shule ulizosema kajenga Samia zilianza kujengwa na Magufuli.
2. Barabara hata raisi angekuwa chizi kama Ruto bado angejenga, kuhusu SGR tulikubaliana uweke miradi aliyoanzisha tu, usiguse SGR, wala JNHPP mana kumalizia ilikuwa lazima imaliziwe kwasababu pesa haitoki mfukoni kwa mtu bali inatoka kwa serikali, hapo tunaongelea akili ya kuanzisha miradi.
3. Kuhusu raia kupata shida, mkuu ulitaka kujenga vitu vizuri huku ukipata raha? Unajua developed countries zimefikaje hapo zilipo? Kama mnataka cheap cheap investment kama zinazofanyika sasa (BRT vibarabara vyembamba plus mradi kuyumba) sawa mtajengewa huku mnapata raha, lkn huko mbeleni gharama yake ni kubwa, itabidi tubomoe tuanze kujenga tena, lkn kama mnataka miradi yenye vision ya muda mrefu huwezi kupata raha huku unafanya maendeleo ya kweli, waulize wakenya na make up investment zao, leo hii hata chakula mezani kinawashinda lkn watakuonesha vighorofa viwili vitatu vya uongo na kweli, tuache propaganda tufanye maendeleo ya kweli.
1. Mkuu kuhusu shule hayo mambo yote yapo kwenye website za tamisemi unaweza pita ukajidhihirisha kwa kuangalia shule mpya zilizojengwa ukajidhihirishe hapa tunazungumzia nchi nzima hapo tunazungumzia shule mpya zaid ya 200 nchi nzima . Je una detail ya magufuli kujenga Walau shule hata 20. Narudia tena hakuna maboresho ya shule yaliyofanyika kipindi Cha magu
2. Nadhani kama ukifuatlia barababra mbovu kuwahi kutokea zimejengwa chini ya kipindi Cha magu akiwa rais na akiwa waziri reference kibiti- somanga.
3. Huwez kusema kuwa ili ufanye maendeleo ni lazima upate taabu, hivi unapataje maendeleo kama unakaa bila kuongeza waalimu ili kuweza kuzalisha wataalamu au madaktari wa kuweza kuwatibu hao wataalamu wako.
Hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa human capital , namaanisha huwez kuendeleza kwa kujenga mitambo huku ukitafuta wataalamu wakuiendesha.
 
Wakuu oneni stadium tuliyoletewa humu juzi na hawa vichaa, oneni hiyo pitch, alafu hawa ndiyo wanataka kuandaa Afcon na Tanzania hawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3128554

Oyaa msidhani masihara, oneni viti hivyo, yani vile viti vya bar ndiyo wameviweka kwenye stadium, alafu kuna mbwa mmoja akapost humu kwamba hii ni stadium, Kenya ni mavi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇
View attachment 3128555

Wallahi nawaambia hawa wasenge hawaandai Afcon, just imagine hawana hata viwanja vya kufanyia mazoezi timu shiriki so far, wakenya hawana akili hakiyamama, wanadhani kuandaa michuano ni kuwa na kauwanja kamoja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyang'au kipchirchir arap Teargas atasema hiyo ni 'state of the art stadium'😎😎
 
Reli ni muhimu kuliko udhaniavyo wewe.
Sio tu usafirishaji mizigo bali hata usafirishaji watu.
Aliyekosea ni baba Mkapa kuibinafsisha.
Ila reli ni kitu muhimu sana.
Reli ni muhimu sana tena kwa mizigo ndo zaid.
Sasa hivi tuko katika kampeni ya kilimo, fikiria tu pale letsay mikoa ya katavi,kigoma ,tabora, shinyanga na bukoba ikija fikisha kilimo Cha wastan wa nusu ya eneo la kilimo lipo kwenye hiyo mikoa , hakuna magari au barabara za kuhimili mizigo hiyo . Mfano tu Australia
 
Nairobi Commuter rail.
1729246555116.jpeg

1729246509135.jpeg
 
Wakuu oneni stadium tuliyoletewa humu juzi na hawa vichaa, oneni hiyo pitch, alafu hawa ndiyo wanataka kuandaa Afcon na Tanzania hawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3128554

Oyaa msidhani masihara, oneni viti hivyo, yani vile viti vya bar ndiyo wameviweka kwenye stadium, alafu kuna mbwa mmoja akapost humu kwamba hii ni stadium, Kenya ni mavi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇
View attachment 3128555

Wallahi nawaambia hawa wasenge hawaandai Afcon, just imagine hawana hata viwanja vya kufanyia mazoezi timu shiriki so far, wakenya hawana akili hakiyamama, wanadhani kuandaa michuano ni kuwa na kauwanja kamoja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe watchman mbona unahangaika? It will Take Tanzania 100 yrs to have such stadiums in almost all regions within Tanzania. Imagine that’s just Kwale County where Sports is not even a common event yet they have such kind of Stadium. Hiyo Stadium ikiletwa Tz it will appear among the top 5 best stadiums.
 
1. Mkuu kuhusu shule hayo mambo yote yapo kwenye website za tamisemi unaweza pita ukajidhihirisha kwa kuangalia shule mpya zilizojengwa ukajidhihirishe hapa tunazungumzia nchi nzima hapo tunazungumzia shule mpya zaid ya 200 nchi nzima . Je una detail ya magufuli kujenga Walau shule hata 20. Narudia tena hakuna maboresho ya shule yaliyofanyika kipindi Cha magu
2. Nadhani kama ukifuatlia barababra mbovu kuwahi kutokea zimejengwa chini ya kipindi Cha magu akiwa rais na akiwa waziri reference kibiti- somanga.
3. Huwez kusema kuwa ili ufanye maendeleo ni lazima upate taabu, hivi unapataje maendeleo kama unakaa bila kuongeza waalimu ili kuweza kuzalisha wataalamu au madaktari wa kuweza kuwatibu hao wataalamu wako.
Hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa human capital , namaanisha huwez kuendeleza kwa kujenga mitambo huku ukitafuta wataalamu wakuiendesha.
1. Nimekuambia hii nchi tangu ipate uhuru hakuna siku shule zimeachwa kujengwa, kwanza for your information Magufuli wakati anaingia alikuta shule za sekondari za serikali zipo hoi bin taabani, akaanza kuzi renovate, sio shule tu tuliona pia Mapinduzi makubwa kwenye sekta ya afya, ni yeye ndiye alitufuta tongotongo kwa kuboresha muhimbili na kujenga hospitali nyingi mpya ambazo ndizo zinamaliziwa kipindi hiki, n.k (siwezi kutaja vyote mana ni vingi hata wewe unajua)

2. Eti barabara mbovu zimejengwa enzi za Magufuli, labda akiwa waziri, mana Rais wake alikuwa Kikwete (kila mtu anajua madudu ya hiyo awamu) japo kuna mifano mingi ya kukataa barabara nyingi enzi zile akiwa waziri, ukiongea hivi mbele ya wananchi wanaweza wakakupiga coz tumeona barabara za Magufuli hata hizi za mitaani, tangu zinajengwa unaona kabisa sio jua kali kama za awamu zilizopita na ndiyo maana zimedumu mpaka leo.
Lakini pia inawezekana zipo barabara chache mbovu katika barabara nyingi zilizojengwa kipindi chake mana yeye sio Mungu useme atasimamia kila barabara Tanzania nzima, but haiondoi ukweli kwamba magu ndiye king wa roads Tanzania hii utake usitake.

3. Hivi mkuu umesoma history kweli wewe? Nenda kasome history ya developed countries alafu urudi hapa utuambie, nenda kasome history ya USA, UK, FRANCE, CHINA pia Germany, kasome uone walifikaje walipo. Tatizo waafrika mnapenda starehe bila kuzigharamia, ukitaka maendeleo ya kweli sharti uumie, hakuna maendeleo bila kuumia. Unataka uongeze wataalamu wakati bado una njaa, bado una infrastructures mbovu, bado huna pesa, hao wataalamu utawaongeza kwa maneno? Fuateni procedures muendelee, hakuna short cut.
Narudia tena, hakuna maendeleo bila kuumia.
 
Sawa boss
1.Ujenzi wa madarasa 12,000= bil 240 umekamilika
2.ujenzi wa shule 25 za wasichana kwa Kila mkoa bil 106.6
3. Phase 3 ,4 ,6 yote hiyo ya sgr yote Iko katika hatua za ujenzi ni itakamilika , phase 3 washamaliza kifusi karibia njia nzima phase 5 sijaweka kwa sababu aliizindua magu ila ujenzi umeanza kipindi Cha Samia.
Maboresho ya shule kongwe kwa halmashauri 183 @650,000,000
Kuna ujenzi wa emd kwa halmashauri zote @ 250,000,000
Ujenzi wa shule mpya Kila halmashauri sekondari
650,000,000
Hiyo ni upande wa tamisemi
Idara ya maji
Maji toka mto ruvuma chini ya ruwasa= 30bil
Hapa ukiingia ruwasa utakutana na orodha ya hiyo miradi ni zaid ya 20
Na yote Iko katika hatua kubwa na imeanza mwaka 2023



Hatumlaumu ila hata kama alianzisha miradi je alifikisha hata nusu ya miradi aliyoianzisha.
Kumbuka aliingia 2015 na mpaka anaondoka barabara ya tabora itigi ilikuwa imesimama hakuna Hela na miradi mingi ilikuwa imesimama.
Bosi Kuanzisha miradi kwa mihemuko ndo kilichotuponza enzi za marehem.
Mind you watu walisugua benchi miaka 5 bila nyongeza ya mshahara Wala kuajiriwa tukiambiwa tunajenga nchi. Sasa kama inajenga reli au barabara ila huwawezeshi watu kupata mlo nani angepanda .
Watu wanaona mabaya ya Samia kwa sababu kaamua kuwa mkimya kipindi Cha magu tulifungwa hatukujua kinachoendele
Mama anajitahidi sana!
 
Back
Top Bottom