Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Inakuja Victoria, mganda hana pesa ya kupeleka railway malaba na hawezi kopesheka sababu hawezi lipa, mganda hana bandari wala mzigo wowote wa maana wa kuwa na sgr, anategemea mzigo wa transit to DRC na Sudan ambao bado economic benefits zake kwa Uganda ni ndogo sana, mchina pia hawezi kuwapa ninyi pesa kwenda malaba sababu tayari anatoa pesa kwa Tanzania


View: https://x.com/MwangoCapital/status/1846130394766496102?t=-fX2e0fsWeUbzTPC5J_rCQ&s=19
 
Inakuja Victoria, mganda hana pesa ya kupeleka railway malaba na hawezi kopesheka sababu hawezi lipa, mganda hana bandari wala mzigo wowote wa maana wa kuwa na sgr, anategemea mzigo wa transit to DRC na Sudan ambao bado economic benefits zake kwa Uganda ni ndogo sana, mchina pia hawezi kuwapa ninyi pesa kwenda malaba sababu tayari anatoa pesa kwa Tanzania


View: https://x.com/MwangoCapital/status/1846130394766496102?t=-fX2e0fsWeUbzTPC5J_rCQ&s=19

Mganda anapesa, mafuta yake yanafanya akopesheke!
 
Kutoka hapo Thika Road umbali mrefu zaidi ni kwenda Mayole km 780, sasa nisaidie tunapoambiwa eti 🇰🇪 ina barabara za rami km 17000 ni kutoka wapi kwenda wapi!
Dunia ni 24000km diameter itakuaje Kenya kuna barabara ya 17,000km?
Mbona watanzania nyinyi ni wajinga na kutoelewa kinachoendelea duniani?
 
Back
Top Bottom