Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pole yako mbumbumbu game ya kwanza Tanzania ilimfunga Guinea 2-1.
Game ya pili Tanzania ili sare na Ethiopia 0-0.
Upo hapo kijana??
Katika hilo group ni DR Congo tu ndio mgumu.
Na mkafungwa bado na DRC. Yani huoni aibu mnafungwa na lawlessness country?😂😂🤣😂
 
Na mkafungwa bado na DRC. Yani huoni aibu mnafungwa na lawlessness country?😂😂🤣😂
We msenge kama hujui kitu nyamaza.
DR Congo ya 58 katika rank za FIFA.
Je hiyo ni nafasi ndogo!??
 
We've played the same number of games, we have the same points but they feel they're ahead of us.🤣
Una goal difference ngapi kijana!?
Uligongeka 4-1 ukaja kugongeka 1-0.
Kheri sisi tulifungwa 1-0 na 2-0.
Sasa nenda ukatizame unadaiwa magoli mangapi katika kundi lako.
Pia una timu ambazo hutoboi.
Bora mimi Ethiopia na Guinea hawatapona kwangu.
Kiufupi bora TZ tuna nafasi kubwa ya kupita.
 
Unajua Fifa ranking we msenge!?
Kuna Fifa ranking ya team za U20!?
Ona hii mburukenge.
Unataka kulia sasa?😂😂🤣😂

Remember Tanzania is far behind Kenya in FIFA Ranking😂🤣😂
 
Unataka kulia sasa?😂😂🤣😂

Remember Tanzania is far behind Kenya in FIFA Ranking😂🤣😂
Utofauti wa nafasi 8!?
😂😂😂😂😂Ombea TZ tusivuke Afcon.
Tukivuka umeisha.
 
Back
Top Bottom