Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania wengi huwa wanatamani kushika Ksh lakini uwezo ndio huwa hawana😂😂🤣
🤣🤣
wanatamani kua kenya saana
Screenshot_20241010-145304_Chrome.jpg
 
Huyo jamaa wa kwanza hata hajui Tanzania iko upande gani wa Africa😂😂😂🤣

Alafu everybody in that video hawajui anything about Tanzania😂😂🤣

Hadi wale wenye wamepick Tanzania doesn’t know anything in Tanzania 😂😂
Tanzania ndio nchi ya kutokea africa inayotajwa mara nyingi huko hollywood
 

Attachments

  • TikTok_7396359637949320454.mp4
    1.6 MB
🤣🤣
wanatamani kua kenya saana
View attachment 3120964
Kufurahia jirani yetu anavyoanguka.

Tofauti na wachache mnavyodhani, hakuna tunachoweza kujifunza kwenye siasa za Kenya zaidi ya chaos, na ambao wanatamani hizo chaos kwa jina la demokrasia hawajui wanachokitamani, huwezi kuwa na nchi watu toka wapate uhuru makamu wa Rais na Rais wanatunishiana misuli tu alafu utake kujifunza toka kwao, utakuwa una kichaa basi.
 
EV gani? Bongolalas tumewazoea kwa propaganda. Ebu tuonyeshe hizo EV companies in bongoslum tucheke.
DIT inaunda pikipiki na bajaji za umeme.
Na kuanzia mwaka 2025 wataanza mpango wa kwanza wa kubadili mifumo ya mabasi kuwa ya umeme,huko mbeleni kama mambo yataenda sawa wataanza kuunda mabas ya umeme.
 
DIT inaunda pikipiki na bajaji za umeme.
Na kuanzia mwaka 2025 wataanza mpango wa kwanza wa kubadili mifumo ya mabasi kuwa ya umeme,huko mbeleni kama mambo yataenda sawa wataanza kuunda mabas ya umeme.
Ziko wapi? Ebu tuonyeshe kiwanda au zikiwa kwa barabara.
 
Kama hizi ndio 5000 EV's. basi Kenya tuna 50,000. 🤣 🤣 🤣

Amina Ibrahim tuk tuk
Hizo ni bajaji na pikipiki tu.
Lete ushahidi wa Kenya kuwepo hizo 50k.
Maana Dar pekeake ukiona bajaji kumi jua 4-6 ni electric ama CNG.
Kuanzia 2025 tunakuja kwa magari aina zote.
 
Hizo ni bajaji na pikipiki tu.
Lete ushahidi wa Kenya kuwepo hizo 50k.
Maana Dar pekeake ukiona bajaji kumi jua 4-6 ni electric ama CNG.
Kuanzia 2025 tunakuja kwa magari aina zote.
Lakini google maps wanatambua charging station mbili pekee. 🤣 🤣 :EZclap:
 
Back
Top Bottom