Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kenya imehold event gani ya kimataifa inayotambulika
World Athletics U20.

Nyinyi hata mshaihost a Continental event?😂😂🤣

1728379455090.jpeg
 
Hata kwa umbali wa mita 200 ushawahi kuona hizi .? 👇🏾View attachment 3118652😂😂😂
Unamchanganya anajua maana hata ya EMU ?
hivi kwa muda wa miaka yote toka wameanza kufanya kazi washafikisha hata nusu ya mabehewa ambayo tanzania imeshayapokea au kununua.
EMU= 10
mabehewa 56= toka korea hayo
mabehewa 30 toka ujerumani yashatoka ujerumani.
vichwa vya umeme=17
kwa hiyo idadi itawachukua wakenya karne mbili kufikisha hiyo batch
 
Looks like ava haina msaada wwt kwa kunyan,how come mna ava lakini mnapanda maisuzu ya 1990View attachment 3118659
Kenya is not backward like your country. We have several bus builders, kwa wale wenye pesa kidogo kama Eldoret Express go to KVM, wale wenye can afford good money go to Master, AVA, Banbros and LSHS.

Pia tuko na hii by the name IDENTITY, it started operations last year. It was established by former Master Fabricator employees, that’s why they try to mimic Master buses.

1728380859165.jpeg

1728380880604.jpeg
 
Kenya is not backward like your country. We have several bus builders, kwa wale wenye pesa kidogo kama Eldoret Express go to KVM, wale wenye can afford good money go to Master, AVA, Banbros and LSHS.

Pia tuko na hii by the name IDENTITY, it started operations last year. It was established by former Master Fabricator employees, that’s why they try to mimic Master buses.

View attachment 3118666
View attachment 3118668
hiii ilitengenezwa Tanzania miaka kumi iliyopita na it looks attractive than this makanganya of yours. huko sisi tushatoka
1728381451081.png
 
Kenya is not backward like your country. We have several bus builders, kwa wale wenye pesa kidogo kama Eldoret Express go to KVM, wale wenye can afford good money go to Master, AVA, Banbros and LSHS.

Pia tuko na hii by the name IDENTITY, it started operations last year. It was established by former Master Fabricator employees, that’s why they try to mimic Master buses.

View attachment 3118666
View attachment 3118668
evidence ya BUSCAR kununua mabasi 20 kwa huu , vipi umeikosa
happy nation 2024

View: https://www.tiktok.com/@happy_nation_ambassador/video/7411398758941936901?is_from_webapp=1&sender_device=pc
 
Back
Top Bottom