Hiyo ni juu yako mazeh.Lakini google maps wanatambua charging station mbili pekee. 🤣 🤣![]()
Wengi huchajia nyumbani kwao ama DIT.
Sasa unapozungumzia masuala ya charging station kwetu doesn't matter ilhali nyumbani access ya umeme upo.
Unapewa charger na mifumo yake yote unasepa nayo home.