Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20181000_1382937931802187_4133594736055287808_n.jpg
18013910_298169767262637_24674342302384128_n.jpg
34711029744_e63bb12015_b.jpg
19120467_181985035666787_3632200451488743424_n.jpg
19379647_277187806080956_3872055056207446016_n.jpg
4fKUA.jpg
18721890_1252658158189890_5426737864790507520_n.jpg
31408739574_65f3de9ce8_b.jpg
Kila siku wewe nikurudia same pics bro huna kitu kipya kabisa
 
Nikekuwekea vigongo kwenye level ya UN.
Usiharibu battle vile uliharibu ile ya Glass Buildings tafadhali. Lete Output ya Tz individuals making it big internationally.
Niko na listi ya waKenya mia moja. Sisi hatuna madini wala mafuta bali tunatumia elimu na akili.
Twende kazi.
 
Usiharibu battle vile uliharibu ile ya Glass Buildings tafadhali. Lete Output ya Tz individuals making it big internationally.
Niko na listi ya waKenya mia moja. Sisi hatuna madini wala mafuta bali tunatumia elimu na akili.
Twende kazi.
Saa nyie mlivyo na viongoz wezi hayo madini si wangestaafisha ka mtu anastaafisha ardhi atashindwa madini yaliyo ndan ya ardhi haahaha mungu nae aliona mbali
 
Usiharibu battle vile uliharibu ile ya Glass Buildings tafadhali. Lete Output ya Tz individuals making it big internationally.
Niko na listi ya waKenya mia moja. Sisi hatuna madini wala mafuta bali tunatumia elimu na akili.
Twende kazi.
Kha!! Mnataka hivyo mbona mtakimbia?
 
Saa nyie mlivyo na viongoz wezi hayo madini si wangestaafisha ka mtu anastaafisha ardhi atashindwa madini yaliyo ndan ya ardhi haahaha mungu nae aliona mbali
Karibu Kenya. Unaruhusiwa kuoa/ kuolewa na pia kumiliki kipande cha ardhi milele na milele
 
TPA Tower
Makinika bro.... Bring me Tanzania's finest top brains in international organizations/ institutions
Haueleweki unachotaka. Umesema nikuoneshe glass buildings. Vipi tena. Umesema nimehamisha mada. Twende kwenye glass buildings mbona wewe umeanza kuhamisha goli?
 
TPA Tower

Haueleweki unachotaka. Umesema nikuoneshe glass buildings. Vipi tena. Umesema nimehamisha mada. Twende kwenye glass buildings mbona wewe umeanza kuhamisha goli?
Battle ya Glass Buildings tulitoka kitambo na unakumbuka ulivyoiharibu baada ya kulemewa. Nimekwambia usijaribu kuharibu hii battle ingine tunaanza mimi na wewe
 
Back
Top Bottom