Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa Amelia sana. Niendelee ama niache?😂😂😂🤣

Emirata E1.

17. Sadio Mane.
1728389199059.jpeg

1728389221909.jpeg

1728389246519.jpeg

1728389265420.jpeg
 
Angalia wanaaume huku hiyo ni fleet ya mwaka Jana tu . Hakuna haja ya kuaanza kutafuta mtandaoni
Tutolee fake Chinese boxes hapa😂😂🤣😂. Hizi buses zenye napost are worth Ksh 28M while hizo za Kichina are only Ksh9M😂😂🤣

Emirata 1.

18. Van Djik
1728389382159.jpeg

1728389405985.jpeg

1728389426039.jpeg

1728389454177.jpeg
 
Electric buses made in Kenya
View attachment 3118795
Mbona hazipo barabarani? Maisha yenu ni ya kuigiza mnachukua ka bus kamoja mnakaweka sehemu yenye unafuu mnakapiga picha alafu mnapost mitandaoni muonekane mmeendelea kuliko Tanzania, wageni wakija njia nzima wanakutana na huu uchafu 👇👇
1728380880604.jpeg
Screenshot_20241008-142510~2.png
Screenshot_20241007-124820~2.png
1728275610883.png
 
Battle imekushinda, umeshindwa kuleta gari zilizonunuliwa mwaka huu unajaza saver , leta gari na plate number huwezi leta gari yenye plate number ya 2023 eti utudanganye ni ya 2024
Ulisema magari za Buscar hazifiki kumi, sasa mbona unalia tukianza kuzionyesha?😂😂🤣

19. Maino

1728389787106.jpeg
 
Yule jamaa maepotea?😂😂🤣

Acha nimwekee ya mwisho, akirudi tutaendelea where we stopped😂😂

Tumeacha at 22.

Aubamayang.
1728390701620.jpeg
 
The day Tanzania will host any world sport event I promise I’ll raise Magufuli back from the dead😂😂

Kenya.
View attachment 3118660
View attachment 3118661
Marehemu kawafanyia nini maana kila saa Magufuli Magufuli mtu kafa 3 years ago lakini bado yuko kwenye midomo yenu inaelekea aliwafinya kisawasawa 🤣🤣🤣
 
hakuna kampuni ya kikenya inayoweza nunua fleet ya mabasi zaid ya kumi kwa mpigo
I said I’ll come back to this.

Malaika bought 20 buses at once each costing around Ksh 25M😂😂👇👇

1728391097884.jpeg


On the same day they bough 20 Couriers

1728391222818.jpeg


And 40 Tablets each costing Ksh5M. Meaning angeweza kununua 22 Chineses using the money he used to buy these tablets 😂😂🤣👇👇

1728391328684.jpeg
 
Marehemu kawafanyia nini maana kila saa Magufuli Magufuli mtu kafa 3 years ago lakini bado yuko kwenye midomo yenu inaelekea aliwafinya kisawasawa 🤣🤣🤣
Lazima tu tukumbuke mwenye aliletwa Nairobi kupata matibabu😂😂😂
 
Hivi Kenya hakuna stand? Je, abiria wanapandia wapi? Au popote tu bus ikiona abiria inapandisha? Hayo mambo huku hakuna bus ukiikosa Magufuli terminal tafuta nyingine, hakuna kupakia njiani pasipo na stand. Tanzania ndiyo maana wageni wakija wanakuta utaratibu wa ulaya tofauti na nchi zao za ki Africa.
Hawa nyang'au hata ufanyeje hawawezi kukuonyeha mabasi yao yako stendi kwa sababu wanaona aibu kuonyesha stendi zao😎😎
 
Back
Top Bottom