Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unalazimisha vitu ambavyo havipo.
Bongolalas hua munajifanya sukari sana, tunajua you also have very ugly and old buses but we just don't bother to post.

May be an image of 3 people and text
 
Hizi ni gari za chaka to chaka sio gari za mkoa kwa mkoa 😂😂😂 hakuna gari ya mkoa kwa mkoa inayo operate mbovu kama hivyo
Kwani hizo chaka ziko Tanzania ama Burundi?😂😂🤣😂.

Alafu Acha uongo hiyo ni gari ya mkoa kwa mkoa😂😂
 
Hizi ni gari za chaka to chaka sio gari za mkoa kwa mkoa 😂😂😂 hakuna gari ya mkoa kwa mkoa inayo operate mbovu kama hivyo
Mbona hizo basi zenu hupata accident karibia kila siku? Au ni ju ni mchina. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom