Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya Kisumu umeawachana nayo?😂😂🤣🤣
umeshindwa kuverify na nimekuambia kisumu ni level ya bus terminal haina hadhi ya mimi kusumbuka nayo, nimekuletea songwe hapo na video za mpaka ndani leta video za ndani za kisumu hapa
 
kwa mkaingiza kiasi gani na hao wageni wote?
Who yold you only wageni ndio hutumia ndege? Yani watanzania wote ni wajinga tu hivi?😂😂😂

Half of that 11M are domestic travellers moving from one airport to the other. That’s thrice the domestic travellers in Tanzania😂😂
 
Who yold you only wageni ndio hutumia ndege? Yani watanzania wote ni wajinga tu hivi?😂😂😂

Half of hat 11M are domestic travellers moving from one airport to the other. That’s thrice the domestic travellers in Tanzania😂😂
haha wewe ndo kilaza ukisafiri na kq letsay kwa kupitia jkia kwenda dubai 90% ni foreigners na kuna kipindi unakuta wakenya labda wawili tu.
 
umesema uko ahead ya tz nimekuonesha kwa hizo airstrip zenu ndo mko ahead?
By Juy 2023 JKIA had already handled 8.2M passengers, almost twice of what all Tanzanian airports did😂😂👇👇

1727564708094.png
 
Hizi ni hasira za Kisumu kushinda Arusha Mabati rolling mill😂😂😆
arusha is an airstrip meant for tourists and not for international travelers, na hakuna siku utasikia kq imeshukisha pale, hiyo arusha ni airstrip kama kakamega and the like, sasa wewe niletee mfano wa airstrip ya kenya inayolingana na arusha
 
arusha is an airstrip meant for tourists and not for international travelers, na hakuna siku utasikia kq imeshukisha pale, hiyo arusha ni airstrip kama kakamega and the like, sasa wewe niletee mfano wa airstrip ya kenya inayolingana na arusha
Vile mlisema tulete ya Kisumu Kwani hamkujua Arusha ni airstrip?😂😂
 
hakuna aliyesema ulete za kisumu hapa, nimekuelekeza kuwa kisumu according to you ni international airport huwez ilinganisha na arusha , kilimanjaro ndo international na iko inajengewa terminal mpya, songwe nipangwa ianze kupokea inrenational palnes ila bado haijaanza,
kwa tanzania functional international ni tatu zanzibar, jkna , na kilimanjaro ndo chezea hapo, ila ukitaka twende regional utaiweka arusha
 
hakuna aliyesema ulete za kisumu hapa, nimekuelekeza kuwa kisumu according to you ni international airport huwez ilinganisha na arusha , kilimanjaro ndo international na iko inajengewa terminal mpya, songwe nipangwa ianze kupokea inrenational palnes ila bado haijaanza,
kwa tanzania functional international ni tatu zanzibar, jkna , na kilimanjaro ndo chezea hapo, ila ukitaka twende regional utaiweka arusha
Are you aware that Kisumu handles more passengers than Kilimanjaro?😂😂

Kilimanjaro in 2023 handled only 787k passengers, Kisumu did over 800k. Songwe kumbe is not even handling 1,000 passengers kwa mwaka😂😂
IMG_0616.png
 
eti songwe haifikishi 1000 kwa mwaka hizo data zako zisikupotoshe twice daily flights to songwe na regional airport all days the plane is full . fuatilia ile record zilizopo it handles 15,000 per year na kwa sababu bado ilikuwa katika expansion
 
eti songwe haifikishi 1000 kwa mwaka hizo data zako zisikupotoshe twice daily flights to songwe na regional airport all days the plane is full . fuatilia ile record zilizopo it handles 15,000 per year na kwa sababu bado ilikuwa katika expansion
Hizi ni data za serikali ya Tanzania, unajua kuwaliko?😂😂👇👇

IMG_0616.png
 
Are you aware that Kisumu handles more passengers than Kilimanjaro?😂😂

Kilimanjaro in 2023 handled only 787k passengers, Kisumu did over 800k. Songwe kumbe is not even handling 1,000 passengers kwa mwaka😂😂
View attachment 3109878
na unajua hao wote ni only tourists ,hakuna wafanya biashara wanaoshukia hapo na unajua kuwa kwa safari za ndani tunatumia arusha airport ambayo iko less than 100km kutoka kilimanjaro
 
Back
Top Bottom