Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As long as there is no road in Tanzania with such number of lanes, underpasses mchawi wowote asiniongeleshe.

View attachment 3109302
Hii ni aina ya barabara ya kawaida mzee unaezapatana na hii popote in Africa😂😂😂 Heb search countries with BRT system in Africa then uone ni mataifa mangapi hapo Africa yapo na hizo barabara, very few. In East and South Africa ni mataifa mawili only SĄ and TZ.
 
USA debt to GDP is 123%
Japan Debt to GDP is 263%
UK debt to GDP is 100%
Italy debt to GDP is 140%

So according to your stupid reasoning Tanzania imeshinda all those countries? Remember Tanzanian government borrowed some of SGR money from Kenya😂😂
Those are big economies economic matrix zake huwezi linganisha na poor countries
Tajiri anaweza kuwa na mikopo mikubwa lakini pato lake lina manage sasa wewe maskini deni kubwa kipato kidogo.
Ukitaka kujua hilo angalia credit ratings za USA JAPAN against za Kenya ndio utajua how big economies function.
 
Hii ni aina ya barabara ya kawaida mzee unaezapatana na hii popote in Africa😂😂😂 Heb search countries with BRT system in Africa then uone ni mataifa mangapi hapo Africa yapo na hizo barabara, very few. In East and South Africa ni mataifa mawili only SĄ and TZ.
Hiyo barabara ya kawaida ndio haziko Tanzania. Mkijenga kama hiyo njoo tuongee.
 
Those are big economies economic matrix zake huwezi linganisha na poor countries
Vile Kenya pia iko na big economy and matrix zake huwezikuwa pinga is ha na poor country kama Tanzania, sindio?😂😂
 
Highway za USA hazina BRT
Highways za China hazina BRT
Highways za UK hazina BRT
Highways za Japan hazina BRT.

Only foolish Tanzanians wants Kenyan highway to have BRT😂😂
US infrastructure ni outdated 😂😂😂 in case you don’t know. Unajua walijenga lini.? We instead of trying to catch up with the western infrastructure we decided build them modern world infrastructures ..
 
US infrastructure ni outdated 😂😂😂 in case you don’t know. Unajua walijenga lini.? We instead of trying to catch up with the western infrastructure we decided build them modern world infrastructures ..
Kama ya US is outdated basi ya Tanzania is dead. Kama Burundi ndio inawashinda infrastracture, USA mtaweza?
 
Kwanini tujenge miundombinu za kawaida za karne ya 20 while tupo karne ya 21.? 😂😂😂 we aren’t playing catch up, tumeamua kwenda mbele ya muda.
Karne ya 21 ndio bado mko na only 12,000km of paved roads wakati wengine wanachezea 25,000km😂😂😂.

Jengeni barabara kwanza atleast at mfike 15,000km of pabed roads😂😂
 
Highway za USA hazina BRT
Highways za China hazina BRT
Highways za UK hazina BRT
Highways za Japan hazina BRT.

Only foolish Tanzanians wants Kenyan highway to have BRT😂😂
Unasema barabara za China hazina BRT.? 😂😂. Haya Toa tongo tongo 👇🏾
IMG_1722.jpeg
IMG_1719.jpeg
IMG_1720.jpeg
IMG_1721.jpeg
 
SASA daah! Wakenya Yani hakiri yezu ni za Bangi nadhani, ww unajenga Barabara Tu. Tena Nairobi na mijini Tu, haujengi bandari mpya, reli umeishia porini ampapo hauwezi kukulipa , Sisi Tunajenga vyote tena reli ya umeme tunaozalisha Kwa winging. Tunajenga viwanja vipya vya ndege na vingi kuvifanya international ili kupunguza transportation cost, Tunajenga bandari za uvuvi. Reli yetu inalink directly Kwa nchi zinazotuzunguka, Tunajenga viwanda, Tunajenga smelter's nyingi, irrigation kibao zinajengwa, tourism reactions kibao. Unafikili mbeleni utatupata hata kidogo?
 
Those are big economies economic matrix zake huwezi linganisha na poor countries
Tajiri anaweza kuwa na mikopo mikubwa lakini pato lake lina manage sasa wewe maskini deni kubwa kipato kidogo.
Ukitaka kujua hilo angalia credit ratings za USA JAPAN against za Kenya ndio utajua how big economies function.
yaan anataka kumfananisha azam na mwalimu kwenye ishu ya madeni. yaan azam anaweza akawa ana mkopo wa zaidi ya uzalishaji wake yake bado akawa na uwezo wa kuendelea kukopesheka huku akiwa analipa tu. sasa kenya hata mishahara tu inawashinda kulipa mpaka wakaombe mkopo ndo akopeshwe
 
SASA daah! Wakenya Yani hakiri yezu ni za Bangi nadhani, ww unajenga Barabara Tu. Tena Nairobi na mijini Tu, haujengi bandari mpya, reli umeishia porini ampapo hauwezi kukulipa , Sisi Tunajenga vyote tena reli ya umeme tunaozalisha Kwa winging. Tunajenga viwanja vipya vya ndege na vingi kuvifanya international ili kupunguza transportation cost, Tunajenga bandari za uvuvi. Reli yetu inalink directly Kwa nchi zinazotuzunguka, Tunajenga viwanda, Tunajenga smelter's nyingi, irrigation kibao zinajengwa, tourism reactions kibao. Unafikili mbeleni utatupata hata kidogo?
inawezekana hata hawajui kwanza tuwatengenezea excell ya miradi yao na ya tanzania tuwaone walivyo mazumbukuku
 
Back
Top Bottom