Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukiona wanarusha ngumi za hewani mujue tayar battle imeshawashinda tushawazoea kwa sisi wakongwe na hii sio mara ya kwanza au ya pili

so kwa wale wageni hata musihangaike nao tayar wameshaona tanzania imewaacha kwenye kila kitu sasa wanaona wafanye liwalo waharibu thread hii😂😂😂😂😂
Mtu mpaka leo bado anapost Thika road unadhani mchezo, hakuna miradi ya maendeleo Kenya, wanaona aibu ku left thread, ukiwaambia kuanzia leo tunapost miradi mipya ya maendeleo yenye thamani ya kuanzia $100ml thread inakufa kwasababu wataleta talanta then hakuna watakacholeta zaidi ya kelele.
 
Mtu mpaka leo bado anapost Thika road unadhani mchezo, hakuna miradi ya maendeleo Kenya, wanaona aibu ku left thread, ukiwaambia kuanzia leo tunapost miradi mipya ya maendeleo yenye thamani ya kuanzia $100ml thread inakufa kwasababu wataleta talanta then hakuna watakacholeta zaidi ya kelele.
talanta yenyewe mali ya mchina kqma ilivo expressway and GTC 😂😂😂😂

yani serekali yao haina nguvu za kiume kujenga even 1km of paved road
 
🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥👉🇰🇪👉💩💩💩💩
1727505159743.jpg
 
Hivi sababu hasa ya chanjo ya Hep B kwa kichanga ambacho mama yake hana, wakati ugonjwa wenyewe huambukizwa kwa zinaa, ni nini?
Hep B hupatilana saba mahospitalini ambapo healthcare providers wana deal na damu hata maabara pia. Hivyo ni lazima kwa wafanyakazi wote wa afya kupata chanjo ya Hep B. Watoto huzaliwa hospitali ambapo uwezekano wa kupata hep B ni mkubwa kuliko mtaani hivyo ni lazima achanjwe mapema tuu.
Hep B huambukizwa through body fluids such as saliva, blood, semen etc
 
That's why I always call you fool, uyu anamuigizia waziri mmoja, anafanya drammer, arafu Kwa akili yako fupi unafikili Yuko serious.
Jamaa ako serious. Na nyinyi wote mko wajinga tu kama yeye kwa kusifu wanasiasa. You see politicians like they are gods.
 
Baboon hizi ni vitu vya kawaida Kenya. In Tanzania lazima wenye hizi gari moja moja waitane place moja ndio upate hiyo fleet. In Kenya just a random walk utakutana na hizo kama 50 hivi.


Nenda Kileleshwa, lovington na Kilimani uone magari😂😂
Usija ukadhani hizo ni kama zile wazungu wana import kwaajili ya Car show manzee 😂😂😂

Hizi małi za wabongo, and that’s one man car parade.
 
Back
Top Bottom