Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ok twende kwenye reality tuanze kwenye GDP.
What is ratio of your GDP to public debt and how much surplus do you after a deduction of your public debt as compare Tanzania,
Unataka kutuambia una mauzo ya 100bil ila kati ya hizo unatumia asilimia 70 kulipa deni na kubaki na akiba ya 30bil halafu mwenzako anamauzo ya 70bil ila ana deni la asilimia 30 . Huyu akiuza baada ya kulipa deni anabaki na surplus ya 69. Hapo nani anaweza fanya matanuzi au nani atakuwa na maendeleo. Letsay Kuna nyumban inauzwa bil 50, nani atakuwa na uwezo wa kununua hiyo nyumban?
USA debt to GDP is 123%
Japan Debt to GDP is 263%
UK debt to GDP is 100%
Italy debt to GDP is 140%

So according to your stupid reasoning Tanzania imeshinda all those countries? Remember Tanzanian government borrowed some of SGR money from Kenya😂😂
 
Built in Kenya by Kenyans at Master Fabricator.

1727459257289.jpeg

1727459339412.jpeg

1727459378988.jpeg
 
Wachawi bado wanategemea Kenya, South Africa, Brazil na China kwa mabasi baadala watengeneze zao😂😂.

Kenyan built buses in the streets of Mombasa.

1727459873388.jpeg
 
We had the cure for the complications that were rising as a result of Covid infections. Magufuli was admitted in Nairobi Hospital due to those complications. Covid was like a flu, after sometimes it could disappear so it was just a matter of managing the symptoms before it could disappear cause majority of the fatality was a result of these underlying diseases.
Where did you get this info??
Newspaper. 😂
 
USA debt to GDP is 123%
Japan Debt to GDP is 263%
UK debt to GDP is 100%
Italy debt to GDP is 140%

So according to your stupid reasoning Tanzania imeshinda all those countries? Remember Tanzanian government borrowed some of SGR money from Kenya😂😂
kumbe we zumbukuku eti tanzania iliomba pesa toka kenya.
can you prove that. you just nincompoope . ukiangalia hivi ukiangalia uchumi wa nchi hizo unaona unakua ? huwezi linganisha hizo nchi tajwa hapo juu na kenya kwa sababu pamoja na kuwa na madeni bado zinaweza jiendesha na uzalishaji wao kwa kulinganisha na mahitaji ya wananchi wao ni mkubwa , unataka kuilinganisha na kenya ambao chakula tu ni shida. leta nchi zenye gdp below 500bil usd ambayo zinadeni kama hizo nchi tajwa hapo na bado zina economic growth. ukuaji wa hizo nchi tajwa uhafika kwenye bar wao mahitaji yao ni matumizi tu tofauti na weww ambay huna hata barabara
 
USA debt to GDP is 123%
Japan Debt to GDP is 263%
UK debt to GDP is 100%
Italy debt to GDP is 140%

So according to your stupid reasoning Tanzania imeshinda all those countries? Remember Tanzanian government borrowed some of SGR money from Kenya😂😂
unajua tofaut ya japan USA na kenya

USA is a developed country
japan is a developed country


kenya is a developing and third world country

wale wenzako madeni yao ni kama wanajikopesha wenyewe tu, wenzio sasa hvi wanawaza kwenda kuishi mars, hawaongelei chakula wala barabara

kenya ni nchi ambayo mpaka leo bado ina njaaa kila mwaka, na yet kila leo USA na japan inawapa misaada ww hushangai tu 😂😂😂😂
 
unajua tofaut ya japan USA na kenya

USA is a developed country
japan is a developed country


kenya is a developing and third world country

wale wenzako madeni yao ni kama wanajikopesha wenyewe tu, wenzio sasa hvi wanawaza kwenda kuishi mars, hawaongelei chakula wala barabara

kenya ni nchi ambayo mpaka leo bado ina njaaa kila mwaka, na yet kila leo USA na japan inawapa misaada ww hushangai tu 😂😂😂😂
But Kenya sio LDC kama Tanzania😂😂😂
 
Back
Top Bottom