Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3108700
haha same level na walaa hata hatupigi kelele
We are not same. Kenya sio LDC kama Tanzania😂😂🤣👇👇

IMG_0610.png
 
Bongolalas hua obsessed with slums ukiwaambia majority of Nairobians wanaishi kwa self-contained house wanakasirika. 🤣 🤣 🤣 Hatuko LDC kama nyinyi. 🤣

May be an image of 1 person, skyscraper, cloud and street
 
haha i bet na gdp yenu iliyopoteza 5bil kwa mwaka mmoja mbona data za mwaka 2025/2026 mtakuwa mmepitwa sana.
View attachment 3108674
Only 8.9 Million Kenyans live in extreme poverty while 26 million Tanzanians live in extreme poverty 😂😂😂🤣.
Remember Kenyan extreme poverty rate starts at $2.15 while Tanzania starts at $1.90 lakini bado maskini wa Tanzania ni wengi, I’m sure Tanzania wakiwekea $2.15 then there will be55 million people living in extreme poverty 😂

IMG_0613.png



IMG_0612.png
 
Pole sana baboon, najua unaogopa mbwa sana.

Anyway continue crying in peace, on this day Kenya gave Tanzania money😂😂👇👇

View attachment 3108684
Sasa unaleta fedha za rambirambi meli ya mv Nyerere ilipozama na unasema ni mkopo wa sgr? Watu wengi walitoa fedha za rambirambi na sio hiyo benki moja tu😎😎
 
hapo kenya imetaja kuwa kwa kila wakenya wanne mmoja ni kichaa na wametaja idadi . hhhaaaaa
Watanzania wengi ni vichaa.

Mental illness doesn’t necessarily mean madness. Mental illness include depression, anxiety, stress, epilepsy etc. Stress (alcohol abuse), depression and anxiety and epilepsy contribute 99% of that list.

Tanzania on the other hand, report purely stated madness😂😂
1727470529582.jpeg
 
Watanzania wengi ni vichaa.

Mental illness doesn’t necessarily mean madness. Mental illness include depression, anxiety, stress etc. Stress, depression and anxiety contribute 99% of that list.

Tanzania on the other hand, report purely stated madness😂😂
View attachment 3108801
haha kiyo sio ripoti halafu hilo gaztee ni la udaku ukifungua content iliyoandikwa hapo tofauti na kama hujui udaku sema. about mental illness comprises vyote ukiwa ni kichaa ina maana unaugonjwa wa kichwaa , mental illness imebeba vyote na madness. ukiwa ni kichaa unahesabika una ugonjwa wa kichaa ambao kwa kiingereza ni mental illness.
 
ilimradi uokote picha za google walau ujifurahishe nafsi yako 😂😂😂😂😂
Haya tumezoea. Picha zote mibovu kutoka Dar huwa yameokotwa mitandaoni ama ni za 90s. Desperate souls!!
 

Attachments

  • Screenshot_20240926-182445.jpg
    Screenshot_20240926-182445.jpg
    45.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240926-182549.jpg
    Screenshot_20240926-182549.jpg
    45.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240926-182758.jpg
    Screenshot_20240926-182758.jpg
    34 KB · Views: 5
Back
Top Bottom