Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkiambiwa ukweli mnasema ni chuki. Mko na nini ya kuchukiwa? Ama umaskini?😂😂😂👇👇



View attachment 3108647
haha gazete la kenya limecopy taarifa za mwaka 2015 hizi hapa taarifa ya 2021 ambayo inaonesha kuwa mlikuwa na umaskini wa 36% na data zenu ni za 2021 wakati tanzania kwa mwaka 2018 tulikuwa na that amount tena kipindi ambacho tulikuwa katika hali ngumu. nyinyi bado maskini tu

1727463091485.png

1727463560756.png

na link hiyo hapo tena estimates from kenya ngurukuru
 
Tunaongelea LDC wewe unatuletea tweets za income. Yani huu ujinga wako hata huwezificha?😂😂🤣🤣😂

Tanzania is still a member of LDC and even IMF and World Bank anajua Tanzania ni LDC😂😂
What is development according to you crazy ugly bastard.? 😂😂😂
 
haha gazete la kenya limecopy taarifa za mwaka 2015 hizi hapa taarifa ya 2021 ambayo inaonesha kuwa mlikuwa na umaskini wa 36% na data zenu ni za 2021 wakati tanzania kwa mwaka 2018 tulikuwa na that amount tena kipindi ambacho tulikuwa katika hali ngumu. nyinyi bado maskini tu

View attachment 3108657
Siku hizi world Bank ni gazeti la Kenya?😂😂🤣👇👇

IMG_0608.jpeg
 
Tunaongelea LDC wewe unatuletea tweets za income. Yani huu ujinga wako hata huwezificha?😂😂🤣🤣😂

Tanzania is still a member of LDC and even IMF and World Bank anajua Tanzania ni LDC😂😂
unafkiri LDC inakua determine kwa kutumia nn kama sio income mpuuzi wewe 😂😂😂😂😂

mada zikiwashinda munaanza kuruka ruka eti mulitikopa pesa ya SGR ukipa sehemu tanzania ilisaini mkopo wa SGR kutoka kenya mm nafunga acc sasa hvi
 
Peleka kijambio.. we are better than you in so many aspects. And Tz ni LME as we speaking right now, wewe kama unaumia męża wembe. 😂😂😂
wanaiogopa tanzania kuliko ukoma 😂😂😂

miaka 10 iliyopita walikua wakitukana sana watanzania haya kiko wapi sasa
 
Peleka kijambio.. we are better than you in so many aspects. And Tz ni LME as we speaking right now, wewe kama unaumia męża wembe. 😂😂😂
Tanzania is still LDC. Siku mtatoka LDC kuja tuongee🤣🤣
 
Back
Top Bottom