Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

When have you ever heard of capitalist speaks highly of a socialist country?
Wanasifia makapitalist wenzao mdio maana hata swala la njaa Kenya huweai liona CNN. Chuki yao inakuja wanapofika Tanzania umiliki wa ardhi hakuna na sheria za uwekezaji holela ni tight.
Mkiambiwa ukweli mnasema ni chuki. Mko na nini ya kuchukiwa? Ama umaskini?😂😂😂👇👇

IMG_0608.jpeg
 
endelea kujidanganya hvo hvo kama huna taarifa tanzania imeingia muda sana kwenyw lower middle income 😂😂

najua hua inawauma sana ila vumilieni
Lower middle income sio kutoka LDC😂😂🤣. Development and income are two different categories 😂😂🤣👇👇

IMG_0609.png
 
mpuuuzi wewe unafananisha deni ya USA na kenya wewe kweli hayawani😂😂

yani mzungu anawaza kwenda mars wewe unawaza lini MUNGU alete mvua mulime mahindi mule au mufe njaa
But si Kenya iliwapea pesa?😂😂🤣
 
post na date mbona unaficha sasa😂😂

hzi ni data toka 2017 munazipost mukishindwa mada hua munakimbilia huku toka 2017 au umesahau nikukumbushe
Huoni hapo kama imeandikwa December 2023?😂😂🤣👇

IMG_0609.png
 
Wasenge watakuwa na uwanja mmoja tu approved, sisi tutakuwa na 5 approved stadiums, that's a difference mzee, tumewaacha mbali sana, again; hii michuano tutaandaa pekeetu, watanzania tujishikize maana hawa wababaishaji hawatoandaa Afcon, mtaniambia mm humu.
Yule msomali pale tff simuamini kabisa,kuna namna anatengeneza ufunguzi na fainali zifanyike kunyaland,hii issue serikali isimuachie aivuruge waisimamie wenyewe,juzi motsepe kaonana hadi ruto,mama afanye alimalize hili swala mapema
 
Back
Top Bottom