Hawa ni wazee wa jua kali projects.Hela ndogo sana haitoshi labda jua kali BRT
Tanzania petrodollar zinakuja, hii Nchi ni mali tupu, Kunyaland tukishaingia kwenye minerals economy ndio tutajenga wall ndefu kama Mexico na USA ili msizamie huku, kama kwa uchumi huu tu wa kilimo tunawapelekea moto hivi, tukianza full minerals, oil and gas economy mmeisha
View: https://youtu.be/bhDERNkDqQk?si=raQIuS6A5vOnNsfz
Atleast Mtanzania kaenda kuwakomboa kuvaa mitambala, now kidogo jezi zina mvuto, sema sasa itakuwa kazi bure, jezi nzr huku wakija kimataifa wanakula kichapo kama kawa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwa hiyo unataka tuwaamini na hearsay zenu? Raisi wenu hakusema amefia Kenya wakati wa msiba, waziri wa afya kimya, mganga mkuu wa Serikali kimya, Hospital yenyewe kimya. Ila nyie otorong'ong'o ndio tuwaamini mbele ya Mkuu wa majeshi aliyeipitisha nchi kipindi kigumu salama?Nation is reputable. Bring me an article that says he did not go Nairobi Hospital
Kama ni highly classified nyie mmetoa wapi taarifa?Matters touching on the health of a sitting President are not held kimandazi unavyodhania. It is highly classified if you know what that means. No one can come out publicly and give out such information, whether it is a minister or not without following due diligence. Ndio maana mliambiwa kwamba alikuwa busy anachapa kazi while in real sense he was in his deathbed breathing his last.
If you expected Kenyan government officials to come out publicly and admit that Magufuli was indeed admitted in Nairobi Hospital then you don't know the intelligence surrounding the affairs of the president, his health and family matters.
Nation being a media house, got wind of it and published an article about it but the matter was highly classified
Soma the third paragraph. Again Kenyan journalists are not lazy like the Tanzanian counterparts, they will go at all lengths to get the highly secretive informations.Kama ni highly classified nyie mmetoa wapi taarifa?
I have question? Kuna taarifa unaweka sijui brain dean weka hapa hospital report tujidhibitishe.Magufuli was already brain 🧠 dead when he was discharged from Nairobi hospital under life support. 'a brain dead person cannot be restituted'
He was to be flown to India but it was too late 😔 and so they decided to fly to Dar and unplug life support machines at Mzena Hospital where his death was officially announced
Kenyatta University Hospital
Kama ni highly classified nyie mmetoa wapi taarifa?
So hiyo ndio source yako? Ina tofauti gani na pumba mnazoandika?Soma the third paragraph. Again Kenyan journalists are not lazy like the Tanzanian counterparts, they will go at all lengths to get the highly secretive informations.
View attachment 3107930
Swali, moja mlikua na Tiba ya COVID-19?Soma the third paragraph. Again Kenyan journalists are not lazy like the Tanzanian counterparts, they will go at all lengths to get the highly secretive informations.
View attachment 3107930
Ni ajabu.Habari ya Mke wa Ndaishimie wa Burundi kulazwa mbona iliandikwa na picha zikapatikana! Mbona ya Magu isipatikane!?
Kwa ego za Wakunya na moto aliokuwa anawapelekea lazima tu wangeweka ushahidi kama ni kweli.
We had the cure for the complications that were rising as a result of Covid infections. Magufuli was admitted in Nairobi Hospital due to those complications. Covid was like a flu, after sometimes it could disappear so it was just a matter of managing the symptoms before it could disappear cause majority of the fatality was a result of these underlying diseases.Swali, moja mlikua na Tiba ya COVID-19?
Was she President? Soma the third Paragraph why Magufuli pictures were not put on public while he was in hospital. Diplomacy had to be maintained.Habari ya Mke wa Ndaishimie wa Burundi kulazwa mbona iliandikwa na picha zikapatikana! Mbona ya Magu isipatikane!?
Kwa ego za Wakunya na moto aliokuwa anawapelekea lazima tu wangeweka ushahidi kama ni kweli.
Was she President? Soma the third Paragraph why Magufuli pictures were not put on public while he was in hospital. Diplomacy had to be maintained.
View attachment 3107974