Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gaddafi kufikia 2005 alikiri makosa na kubadilisha diplomasia baada ya jumuiya za kimataifa kumpigia sana kelele.
Gaddafi alibadilika mkuu na kuwa kiongozi bora ambaye baadae alileta mawazo chanya na mchango chanya Afrika.
Msipuuze juhudi zake za yeye kubadilika na kuwa mtu bora.
Gadaffi kusaidiia Africa alikuwa na malengo yake yaliyojificha nyuma ya pazia watu wengi hawajui.
Nyota njema huonekana asubuhi sio jioni. Mtu mwenyewe dhamira safi na ya dhati huzaliwa nayo you just dont aquite it along the way.
 
Gadaffi kusaidiia Africa alikuwa na malengo yake yaliyojificha nyuma ya pazia watu wengi hawajui.
Nyota njema huonekana asubuhi sio jioni. Mtu mwenyewe dhamira safi na ya dhati huzaliwa nayo you just dont aquite it along the way.
Hizo takataka unazozisema kwa Gaddafi alishakiri katika jumuiya za kimataifa na kubadili muelekeo.
Ndio maana ilipoingia miaka ya 2000s alichagua kujitoa Arab League na kubaki AU.
Na kufika hadi 2005 alishabadili mitazamo ya kidiplomasia mingi tu.
Sema Westerners wakiamua kumchafua kiongozi wanamchafua sana.
Leo hii ukiwasikiliza WaLibya wanakwambia wazi wanajuta kumpoteza Gaddafi.
 
Hizo takataka unazozisema kwa Gaddafi alishakiri katika jumuiya za kimataifa na kubadili muelekeo.
Ndio maana ilipoingia miaka ya 2000s alichagua kujitoa Arab League na kubaki AU.
Na kufika hadi 2005 alishabadili mitazamo ya kidiplomasia mingi tu.
Sema Westerners wakiamua kumchafua kiongozi wanamchafua sana.
Leo hii ukiwasikiliza WaLibya wanakwambia wazi wanajuta kumpoteza Gaddafi.
Gadaffi ni mwarabu mzee aliegemea uarabuni baada ya kuona uarabuni hawezi kufanikisha malengo yake akaanza kuegemea Africa kwa sababu sisi maskini na kwa kiasi fulani tuna umoja na hatuwezi kuweka jeshi la magharibi kushambulia nchi nyingine ya Kiafrika. Gadaffi alilijua hilo ila kwa sababu sisi ni maskini akapenyeza rupia ali mradi apate cover ya Africa kwenye agenda zake lakini toka mwanzo hakuwa mtu safi.
 
Wanasema wamarekani wanakimbia Tanzania. Wanaokimbia ni broke passport bros wanaotaka kushobokewa wakienda club kwa sababu wao ni wamarekani 🤣

Angali wamarekani wenywe Akili anchokifanya Tanzania

View: https://youtu.be/B0SyDlK3v4s?si=NTOBZXr3hrW_p9Et

Nawajua AA wengi walioinvestment TZ na wanaishi fresh,wale 'why i left Tanzania' wengi wao maskini na content creator,just wanavyopost kwenye social media viewers wanawaingizia pesa ambayo hawawezi kusurvive abroad
 
Gadaffi ni mwarabu mzee aliegemea uarabuni baada ya kuona uarabuni hawezi kufanikisha malengo yake akaanza kuegemea Africa kwa sababu sisi maskini na kwa kiasi fulani tuna umoja na hatuwezi kuweka jeshi la magharibi kushambulia nchi nyingine ya Kiafrika. Gadaffi alilijua hilo ila kwa sababu sisi ni maskini akapenyeza rupia ali mradi apate cover ya Africa kwenye agenda zake lakini toka mwanzo hakuwa mtu safi.
Agenda gani unaweza zilist?
 
Gadaffi ni mwarabu mzee aliegemea uarabuni baada ya kuona uarabuni hawezi kufanikisha malengo yake akaanza kuegemea Africa kwa sababu sisi maskini na kwa kiasi fulani tuna umoja na hatuwezi kuweka jeshi la magharibi kushambulia nchi nyingine ya Kiafrika. Gadaffi alilijua hilo ila kwa sababu sisi ni maskini akapenyeza rupia ali mradi apate cover ya Africa kwenye agenda zake lakini toka mwanzo hakuwa mtu safi.
Bro nenda kasome madesa yako vizuri.
Huwenda hujalitafiti vema hili suala.
Nenda katizame kama Gaddafi hakuomba msamaha jumuiya za kimataifa.
Gaddafi aliambiwa achague baina ya Arab league na AU alichagua AU.
Tena waliomtaka achague ni Morocco na Algeria.
Je hizo nchi zipo umoja wa Afrika!??
Kajiulize kwanini Morocco haipo umoja wa Afrika.
 
Hii kitu itawauma mpaka kiyama


1727178310467.png
 
Back
Top Bottom