Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pamoja na serikali yetu sio perfect ila sometimes tukubali tuna watu wenye akili timamu serikalini, Nigeria ni largest economy in Africa ungetegemea wangefanya vitu kwa ukubwa huo lakini namna serikali yao inaendeshwa ni aibu, brt yao imetafuna pesa nyingi kuliko yetu by far lakini angalia busses kutoka same marcopolo company waliyoorder, hayana AC, ni mafupi, hayana handicapped priority ♿ ni mabaya in short lakini sisi tumeenda kutungua kitu first class, lazima wakundustan watuchukie
🇳🇬
View attachment 3103889View attachment 3103890

🇹🇿
View attachment 3103891
Alafu mbona hii BRT Nigeria imekaa jua kali namna hii? Mauchafu barabarani kama kenya, yn Africa bhn hata waweke nn lazima uafrika uonekane, sisi watanzania tumshukuru sn Mungu aisee, tukiweka world class infrastructure lazima ionekane hivyo hata miaka 10 ipite, ona hapa ni ulaya kabisa 👇 👇
20240908_091305.jpg
20240829_215410.jpg
1706890860077.png
Screenshot_20240704-122130~2.png

Wenzetu sasa picha ya upande upande 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
1726162580176.jpeg

Uhalisia 👇👇🤣🤣🤣
IMG_6489.jpeg
 
Kwa akili zako hapo unaweza kupata mzigo wa kilo 100+??
Hapo hata gram 100 hupati.
Unapoambiwa mchimbaji mdogo haimaanishi anachimba kwa style hiyo maana yake ni mchimbaji mwenye leseni ndogo.
Unamaliza nguvu na muda wako adhimu ku argue na mijitu inayotoka cursed country, hayo madini kwao hakuna atakueleza nn.
 
Ndio mimi namshangaa.
Anadhani mtu kuitwa mchimbaji mdogo ndio anachimba kwa chepe.😂😂😂😂
Mchimbaji mdogo ni yule mwenye leseni ndogo ya uchimbaji inayomlimit kusafirisha huo mzigo.
Ila anakua na vifaa vikubwa tu ikiwemo hadi crusher.
Hawa wakenya ni wasenge kweli kweli, hivi wanadhani hata wanaikaribia Tanzania kwa idadi ya Dollar millionaires? Hivi wanajua kule mererani au Geita kuna madoni wangapi wa kitanzania? Na hapo nmegusia migodi miwili tu sijagusa mamia ya migodi ambapo huko kote kuna maelfu ya madoni wa kitanzania, hawa watu wanaenda kuujua ukweli soon mana mpaka sasa hawaelewi hii nchi waliyokuwa wanadhani wanaiweza mbona inafanya mambo makubwa kwa wakati mmoja alafu tunaambiwa tunaiweza?
 
Ndio mimi namshangaa.
Anadhani mtu kuitwa mchimbaji mdogo ndio anachimba kwa chepe.😂😂😂😂
Mchimbaji mdogo ni yule mwenye leseni ndogo ya uchimbaji inayomlimit kusafirisha huo mzigo.
Ila anakua na vifaa vikubwa tu ikiwemo hadi crusher.
Hajui lolote kuhusu maisha yeye akiambiwa mfanyabiashara mdogo Kwa Kenya inabidi awe anafanyia kwenye slums zao
 
Back
Top Bottom