Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama unavyoona hapo, kitu pekee ambacho hakijafanyika ni Magorofa kwenye hiyo empty space kulia mwa Kituo, Vingine vyote tayari akiwemo Joka huko kushoto ingawa wameweka mweupe wakati ni The Flying Orange 😂. Kwa hiyo bado ni Jambo moja tu hapo kunyanyua hizo highrises ambap sasa hivi ni temporary parking space.
Sisi watanzania ni waungwana sana. Tunaendelea kujadiliana na vijana kutoka Nairobi ambao tumewazidi kwa kila kitu. Tunaendelea kuwakaribisha 🤣 🤣 🤣 🤣

Just imagine tupo na mambo haya kwenye BRT wakati kwao ni ndoto ambayo hatujui itakuwa real mwaka gani.

Card imeandikwa Towards Smart Cities

1726925090118.png
 
Hizo G7 zikija mtasumbua sana majirani. Sijui kama watalala kwa kelele zenu.

Yaani unashuka kwenye EMU unadandia G7. Halafu kituo cha BRT pale Tanzanite station kina shape ya EMU.
Wakundustan ilikua 2010-2020 ila wametembelea kichwa ,(Sasa hivi wanatembelea Choki 😂😂😂 au Neutral. Kwa ujumla Sasa hivi ni Yesterday's News Wakafie Mbele😂
 
Wakundustan ilikua 2010-2020 ila wametembelea kichwa ,(Sasa hivi wanatembelea Choki 😂😂😂 au Neutral. Kwa ujumla Sasa hivi ni Yesterday's News Wakafie Mbele😂
Imagine Bodaboda au dereva anasave mafuta kwa kuweka free kwenye mteremko au kutumia choki kwenye boda ndio maisha ya wakundustan sasa hivi, kiujumla hakuna matumaini 😂
 
Back
Top Bottom