Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know Humprey Kariuki? A Kenyan that hold your energy sector by the balls?😂😂🤣😂
Net worth ya huo karioki haifiki hata nusu ya Hela ambayo rostam Aziz amewekeza kwenye fuel and gas pekee na ukichunguza Kwa makini utagundua kuwa ashawahi kuwa mwanasiasa au kampuni inamkono wa mwanasiasa
 
DIT Mwanza Campus 👇👇
Screenshot_20240921-130209.jpg
IMG-20240808-WA0012.jpg
 
Weee! I believe upo humu kitambo wakati thread inaanza mkiwa na kina Edward Wanjala mlikua wangapi mnamquote Geza Ulole kwa kila post yake?
Geza ilikuwa malumbano, ananiquote, namquote ila mimi kuna wengi walikuwa wananiquote na sina shughuli nao kama ilivyo tu sahii. Kuna jamaa aliitwa Kimweri. Tulipelekana naye sana hani tukianzana kila mtu ananyamaza inakuwa mimi na yeye alafu mashabiki wake Bongolala pembeni wakimshangilia bila hata kuelewa anachosema maanake tulibishana vitu technical sana.Mimi kawaida yangu nikiona mtu hana knowledge ya kutosha ila ubishi tu huwa naachana naye namuignore. Mnamchukia Teargas kisa habagui. Ukija na ujinga anakupa vya uso tu.
 
Back
Top Bottom