Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza ilikuwa malumbano, ananiquote, namquote ila mimi kuna wengi walikuwa wananiquote na sina shughuli nao kama ilivyo tu sahii. Kuna jamaa aliitwa Kimweri. Tulipelekana naye sana hani tukianzana kila mtu ananyamaza inakuwa mimi na yeye alafu mashabiki wake Bongolala pembeni wakimshangilia bila hata kuelewa anachosema maanake tulibishana vitu technical sana.Mimi kawaida yangu nikiona mtu hana knowledge ya kutosha ila ubishi tu huwa naachana naye namuignore. Mnamchukia Teargas kisa habagui. Ukija na ujinga anakupa vya uso tu.
You are writing too many words
 
Nyinyi mmeingia humu juu ya hii thread. Kabla hii thread kulikuwa na zingine nyingi. Kwanza kulikuwa na ile ya Neighborhoods in Nairobi vs Dar ilinoga sana. Mtu kama Geza tumetoka naye Skyscrapercity. Baada ya kula bana skyscrapercity miaka ya 2011 alijaribu sana kuconvince waje hapa Jamii Forums.
Nyinyi, juu maneno hayo yanatumiwa na watoto wadogo wasiojua kiswahili.
 
Dollar Millionaire kaongezeka kwenye List, Kule Kundustan wamepunguza wao kwa kumchomea mali na masufuria yao ya Ugali kichwani😂
Nairobi has more dollar millionaires than entire Tanzania. So instead of trying to compare your poor country with Kenya it’s better you start by aiming to reach Nairobi’s level first.
 
It's cheap you idiot.
Did you know why Chinese goods including buses are world class high quality and cost efficient or cheap?

Chinese products eg buses are cheap due to their best manufacturing ecosystem which lowers both production cost and price

Other manufacturers cant compete with Chinese when it comes to price, quality and quantity since their mfg ecosystem cant match China's
 
Geza ilikuwa malumbano, ananiquote, namquote ila mimi kuna wengi walikuwa wananiquote na sina shughuli nao kama ilivyo tu sahii. Kuna jamaa aliitwa Kimweri. Tulipelekana naye sana hani tukianzana kila mtu ananyamaza inakuwa mimi na yeye alafu mashabiki wake Bongolala pembeni wakimshangilia bila hata kuelewa anachosema maanake tulibishana vitu technical sana.Mimi kawaida yangu nikiona mtu hana knowledge ya kutosha ila ubishi tu huwa naachana naye namuignore. Mnamchukia Teargas kisa habagui. Ukija na ujinga anakupa vya uso tu.
Sawa.
 
Nyinyi mmeingia humu juu ya hii thread. Kabla hii thread kulikuwa na zingine nyingi. Kwanza kulikuwa na ile ya Neighborhoods in Nairobi vs Dar ilinoga sana. Mtu kama Geza tumetoka naye Skyscrapercity. Baada ya kula bana skyscrapercity miaka ya 2011 alijaribu sana kuconvince waje hapa Jamii Forums.
Sawa senior
 
Nobody is using Taifa gas in Kenya. Wale wenye walifungua depot ya Taifa gas has all closed shops.

Alafu kitu huwa inanifurahisha is that they all believed Ruto😂😂
Eti nobody, Chuchunge bana.

Alafu unatusema all believed Ruto, tutoe nyie ndio mnatakiwa kuwa questioned, maana alipoenda USA na kupewa non NATO Ally hatukulala.
 
Hii nimeipata kwenye website ya DART mwenye maelezo zaidi kuhusu project hii please

1726924204805.png
 
Hii nimeipata kwenye website ya DART mwenye maelezo zaidi kuhusu project hii please

View attachment 3102096
Kama unavyoona hapo, kitu pekee ambacho hakijafanyika ni Magorofa kwenye hiyo empty space kulia mwa Kituo, Vingine vyote tayari akiwemo Joka huko kushoto ingawa wameweka mweupe wakati ni The Flying Orange 😂. Kwa hiyo bado ni Jambo moja tu hapo kunyanyua hizo highrises ambap sasa hivi ni temporary parking space.
 
Back
Top Bottom