Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

He joined 2016, na Teargas 2021, by ratio Teargas yupo juu.
Kuna wengi humu wenye Wana post per day higher than Teargas na hamuwasemi. Ukumbuke sisi Wakenya tunakuwa quoted zaidi kwenye hii thread kisa we are fewer so the need to respond is higher.
 
Did handsome change its meaning? Midomo ni kubwa, pua ni kubwa, kichwa ni kubwa, maskio ni kubwa. Is that the definition of handsome according to you? 😂😂🤣😂.


Tofauti yako na hii baboon ni kwamba unavaa nguo, everything else mnafanana right from face resemblance😂😂🤣👇👇

View attachment 3101859
Ever heard of lips denda.? Hizo Ndio madem wananipendea. 😂😂😂
 
Alafu rangi anapaka Mchina?😂😂🤣
Duh are you serious kijana?

Hujui business zinavyofanya kazi when involving client customization?

Ulitaka zije hapa nyeupe tuanze kuchora chora ikiwa client yupo na design customization?

Kwa hiyo nami nikiwatumia logo wachina waniwekee kwa flash itakua or miamvuli niliyoorder itakua wao ndio wametengeneza logo.

Jielimishe kijana, hayo malori yenu mnayogeuza mabus yasiwafanye mkose akili.
 
Kuna wengi humu wenye Wana post per day higher than Teargas na hamuwasemi. Ukumbuke sisi Wakenya tunakuwa quoted zaidi kwenye hii thread kisa we are fewer so the need to respond is higher.
Ungewaleta hao. By the way are you sure ni wachache? Au ni kuwa vipigo vimezidi wengine wanapotea?

Maana kukitokea goods news huko Kenya ya kuboost economy mpo kama wote humu mfano. Lile USA not NATO ally. Mlikua wote humu kurusha rusha mapicha.

Ila vipigo vikizidi mnaachia Teargas atukane.
 
Muda umefika nicopy hii link nianze kusaka hawa Wakunya TikTok wenye mentality za kibattle kwa kutumia info za miaka ya mkapa na kuwaleta humu.

Si wanadai ni wachache wakati wapo wengi na wengine kukimbia vipigo, wengine kuhamia mada zingine kina MK254.

Wengine kuokoka kina Tony254.

Ni kuwafata huko huko.
 
The thing is that gas tuna reserve nayo na tunaaccess nayo kuliko petrol tunayoinunua huko nje inapoteza dollars reserve.

So kutumia gas kwetu ni nafuu zaidi that where the benefits and implications ilipo.
Why is it a bragging point?
 
Ungewaleta hao. By the way are you sure ni wachache? Au ni kuwa vipigo vimezidi wengine wanapotea?

Maana kukitokea goods news huko Kenya ya kuboost economy mpo kama wote humu mfano. Lile USA not NATO ally. Mlikua wote humu kurusha rusha mapicha.

Ila vipigo vikizidi mnaachia Teargas atukane.
We have always been less than you. Some have left same us you. Nothing biggy. I've been here much longer than you and I've seen many come and go from both sides.
 
Back
Top Bottom