Buildings ni 15-18 max mnazoleta hapa at different angles.... Endelea kujiconsole!
UDOM is a damn sharp pain in ya asses
This we already know.
Kenya has over 70 universities, Tz has less than 27 mbona unapannic babaa?Bro umepanic ??
Unajifanya unauliza swali la kizushi, nilikuuliza medical procedures umlizofanya kama zinalingana na Tanzania, most advanced mliyofanya ni separation of conjoined twins, ambayo sisi tuliifanya in 1994 japo huko kwenu kama kawaida yenu ya kujipa sifa za kijinga mlitangaziwa kwamba ndiyo ya kwanza East and Central Africa,..Muhimbili sasa hivi kwa mwaka inafanya complicated heart operations(open & closed), kati ya 600 -800 per yearI was busy in the office ....what were you saying....?
But Tanzania produces 1000 Medical doctors, Kenya only 600 poor quality per year. Tanzania produces more engineers with high quality, Kenya produces fewer engineers with low quality, that's why buildings collapse every after one weekKenya has over 70 universities, Tz has less than 27 mbona unapannic babaa?
Kuja =njooHii ni minor sana.embu angalia hapa.
Yenyu=yenu.
Kunjanga=akimaajisha kujaga.
Hii mutu=huyu mtu.
Mkifikia level ya udom unitag bro nasubiria😀😀wanatupigia kelele na kiosk universities like Udom sijui mzinga university....nkt.Let them work harder maybe they might join KU or UoN or Jkuat in future
With poor engineers, and poor medical doctors produced due to corruption and tribalism[emoji23]wanatupigia kelele na kiosk universities like Udom sijui mzinga university....nkt.Let them work harder maybe they might join KU or UoN or Jkuat in future
We better have 5 universities, kuliko 70 universities producing incompetent, English speaking thieves.Kenya has over 70 universities, Tz has less than 27 mbona unapannic babaa?
give me credible medical breakthroughs not stupid backstreet storiesUnajifanya unauliza swali la kizushi, nilikuuliza medical procedures umlizofanya kama zinalingana na Tanzania, most advanced mliyofanya ni separation of conjoined twins, ambayo sisi tuliifanya in 1994 japo huko kwenu kama kawaida yenu ya kujipa sifa za kijinga mlitangaziwa kwamba ndiyo ya kwanza East and Central Africa,..Muhimbili sasa hivi kwa mwaka inafanya complicated heart operations(open & closed), kati ya 600 -800 per year
ati sokoine.....lolSokoine University of Agriculture Tanzania
![]()
![]()
![]()
To me hata hivyo 27 ni vingi sana, we don't need lots of universities, tunahitaji vyuo vingi zaidi vya ufundi stadi,Kenya has over 70 universities, Tz has less than 27 mbona unapannic babaa?
Unaona ulivyo mpuuzi, mimi nimekutajia most advanced procedures tulizofanya katika public Hospita zetu, ninakuambia utaje huko kwenu, ukiacha ile ya separation of twins ambayo huku tuliifanya 1994, taja zingine zilizofanyika kwenu, badala ya kutaja wewe unauliza swali, Ok nitarudiagive me credible medical breakthroughs not stupid backstreet stories
Akikujibu plz nitagUnaona ulivyo mpuuzi, mimi nimekutajia most advanced procedures tulizofanya katika public Hospita zetu, ninakuambia utaje huko kwenu, ukiacha ile ya separation of twins ambayo huku tuliifanya 1994, taja zingine zilizofanyika kwenu, badala ya kutaja wewe unauliza swali, Ok nitarudia
1)cochlear in plant surgery
2)Kurudishia ubongo wa mtoto aliyezaliwa ukiwa nje na hana fuvu la kichwa
3)Closed heart surgery
4)Kuvuna mishipa ya miguu na kuipandikiza kwenye moyo
Lete list ya operations mlizofanya katika public Hospitals, tafadhali anza ya hiyo namba moja