mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
So ni kusema tz ina watu wachache kuliko waliopo coast ya kenya!!!!Kama unasema ...waswahili...wamejaaa.coast ya Kenya kushinda Tanzania ?!?
So ni kusema tz ina watu wachache kuliko waliopo coast ya kenya!!!!Kama unasema ...waswahili...wamejaaa.coast ya Kenya kushinda Tanzania ?!?
Yaaah ( waswahili)So ni kusema tz ina watu wachache kuliko waliopo coast ya kenya!!!!
Hivi unajua dar pekee ina watu wangapi,ukiachana na tanga,pwani,mtwara na zanzibar???au unaandika tu???Yaaah ( waswahili)
Nyinyi...hamjui..tofauti yah. R naL[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yenyu=yenu.
Mswahili anapatikana nchi gani kati ya hizo ulizotaja????
Hii ni minor sana.embu angalia hapa.Nyinyi...hamjui..tofauti yah. R naL
ukizidiwa hoja unaku bwege kumbe😀😀😀😀😀😀niletee official link ya gdp ya dar kuzzidi 9b
Wooooi...embu....ni.kaunti...iko...Kenya.......sisi..wakenya.kwa.shule....2najua.kiwahili...in.vile.2na.penda..ku2mia sheng na influence yah mother tongueHii ni minor sana.embu angalia hapa.
Yenyu=yenu.
Kunjanga=akimaajisha kujaga.
Hii mutu=huyu mtu.
Mnatuharibia lugha yetu kipenzi.Wooooi...embu....ni.kaunti...iko...Kenya.......sisi..wakenya.kwa.shule....2najua.kiwahili...in.vile.2na.penda..ku2mia sheng na influence yah mother tongue
Tafadhali rekebisha keyboard yako, acha kutumia dots nyingi, au unatumia simu ya tochi?[emoji23] [emoji23]Wooooi...embu....ni.kaunti...iko...Kenya.......sisi..wakenya.kwa.shule....2najua.kiwahili...in.vile.2na.penda..ku2mia sheng na influence yah mother tongue
Mnajifanya.mnajua..kiswahili..na.nyinyi ndio wasss.....iyo..minor.. Mistake. Is the major.mistake in Kenya..schools.............ati...(embu..angalia)...Mnatuharibia lugha yetu kipenzi.
Au ni vile nyie hamna ya kwenu!!!!
Another... Model. Type of chating. Mshow ur girlfriendTafadhali rekebisha keyboard yako, acha kutumia dots nyingi, au unatumia simu ya tochi?[emoji23] [emoji23]
Kujifanya ni nini???Mnajifanya.mnajua..kiswahili..na.nyinyi ndio wasss.....iyo..minor.. Mistake. Is the major.mistake in Kenya..schools.............ati...(embu..angalia)...
Inaaitwa....swaggg...Kujifanya ni nini???
Mngekuwa mnasoma kwa umakini msinge leta kachumbari ya english,swahili,kikuyu,luo na kuita slang.huo ni uchafu.
Wakati ninyi mnasherehekea wageni kuja ili muombe msaada wa chakula, sisi huku ni HAPA KAZI TUUNEA Third meeting in Nairobi na haturungi, yani ni kawaida kwetu ku-host such HIGH level meetings.
Sasa hiyo ndio muipee kenya ujulikane ulimwenguni ni lugha yenu.Inaaitwa....swaggg...