Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii gorofa si unaipost kila siku mzee.. we are tired.. tafuta content nyingine.
Baboon najua unaumia because there is no tall building coming up in Vumbistan.

Chukua Altura Tower, 33 floors. Kando yake in Green net is Habitat Tower.


Image


Image
 
Baboon najua unaumia because there is no tall building coming up in Vumbistan.

Chukua Altura Tower, 33 floors. Kando yake in Green net is Habitat Tower.


Image


Image
We are tired, kila siku posting the samething. Huna cha kupost pumzika.
 
Mkuu mimi hawa jamaa ni jirani zangu sana... Ni mwendo wa kutembea tu kuingia kwako..

Kwa sasa wao ndio wana import sabuni kutoka Bongo... Sunda na mambo yao ya kleensoft wame leta mapinduzi makubwa sana kwenye sabuni na detergents. Sabuni za Bongo zinagombaniwa sana kunyaland maana ni bei rahisi na zinatakatisha bila kuharibu mikono. Hata sabuni yao ya kipande ya jamaa now kuna mbadala zipo nyingi

Mafuta ya taa tu ndio kitu kinanunulika kwa wingi kutoka kwao... Cement kuna mchina ameweka kiwanda KLM huko hata twiga cement watu hawana habari nayo

View: https://x.com/mokayah/status/1571764726345998337?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

View: https://x.com/kinjeketile/status/1572101933644513280?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

View: https://x.com/kinjeketile/status/1663427344919412736?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

View: https://x.com/kinjeketile/status/1582377969581891584?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

View: https://x.com/droid254/status/1724676096661061719?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

View: https://x.com/mqhlay/status/1693895050629968258?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
 
Wewe ni Muingereza?
I'm not English but we use English as our language of instruction in school. There's a level you can't go past without English in this country. In Germany, they're one if the leading manufacturers in the world, they have STEM books written by Germans in German. They can comfortably survive without English. Vumbistan can not. Stop comparing yourselves to Germans, they're not your level. Id1ot.
 
I'm not English but we use English as our language of instruction in school. There's a level you can't go past without English in this country. In Germany, they're one if the leading manufacturers in the world, they have STEM books written by Germans in German. They can comfortably survive without English. Vumbistan can not. Stop comparing yourselves to Germans, they're not your level. Id1ot.
What I can say is that all you have written is bullshit; Mr. Fake Englishman.
 
Back
Top Bottom