ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
πππππππ»ππ»ππ»ππ»
View: https://x.com/kenyans/status/1714264354919477449?s=46
View: https://x.com/kenyans/status/1714264354919477449?s=46
Nilijua nikiandika paragraph nzima kwa Kiingereza nitakuwa nimekuchanganya kabisa. Ng'ombe ni ng'ombe tu.What I can say is that all you have written is bullshit; Mr. Fake Englishman.
Wachawi wonβt like this.
Talanta daily dose.
View: https://www.instagram.com/reel/C_7zvDnoWVD/?utm_source=ig_web_copy_link
Another bullshit.Nilijua nikiandika paragraph nzima kwa Kiingereza nitakuwa nimekuchanganya kabisa. Ng'ombe ni ng'ombe tu.
Ziko cranes 4 as of now. A total of 8 cranes will be used. Hile yao ya Arusha naskia imekwama tenaππKuna mtu alikuwa anauliza crane Iko wapi Aoneshwe hii Sasa.
ya arusha inawaumiza sana vichwa ππZiko cranes 4 as of now. A total of 8 cranes will be used. Hile yao ya Arusha naskia imekwama tenaππ
Kitu ya 30,000 seats iniumize kichwa?πππ€£π€£.ya arusha inawaumiza sana vichwa ππ
tofaitosha talanta na arusha, talanta ni mali ya mchina na ataimiliki yeye mwenyewe lakini arusha ni mali ya serekali na inajengwa na serekali
natumai sijakukera na ukweliππ
Kama utaendelea kulia we lia tu ππΎKitu ya 30,000 seats iniumize kichwa?πππ€£π€£.
Ukileta evidence Talanta ni Mali ya mchina nahama JF for goodπππ€£
Naona umeendelea kuonyesha maumivuππ cry harder.Sasa stadium ya 30,000 inaezafanya mtu alie? Saa hii utensil umesimama juu contractor bado hajapewa pesa bado.
Na ujue opening and Closing games ni Talanta Stadium, hiyo ya Arusha maybe itakuwa tu training ground for some teams.
Is this the only company you have in the whole of your wretched country?
Ni wapuuzi tuu hao nothing to show off.Huyu jamaa kuna muda sijui huwa anadata!??
Embu angalia mjadala anaoniletea hapo sasa!!