Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sabuni za Omo na geisha 😂😂😂

Mkuu mimi hawa jamaa ni jirani zangu sana... Ni mwendo wa kutembea tu kuingia kwako..

Kwa sasa wao ndio wana import sabuni kutoka Bongo... Sunda na mambo yao ya kleensoft wame leta mapinduzi makubwa sana kwenye sabuni na detergents. Sabuni za Bongo zinagombaniwa sana kunyaland maana ni bei rahisi na zinatakatisha bila kuharibu mikono. Hata sabuni yao ya kipande ya jamaa now kuna mbadala zipo nyingi

Mafuta ya taa tu ndio kitu kinanunulika kwa wingi kutoka kwao... Cement kuna mchina ameweka kiwanda KLM huko hata twiga cement watu hawana habari nayo
 
ww nae acha kuongea pumba unajua hio depot inajengwa wapi?? uliza kama huna ulijualo, hio ni barabara ya inafungwa ili ujenzi uanze rasmi na depot inajengwa nyuma ya ile mall kubwa ya ubungo
Sijaelewa kiongozi? Wanataka kupanua barabara ya Simu2000 au?

Maana ile Depot ya nyuma ya Mall ilishakamilika toka enzi za Magufuli.

Nikajua ni kukarabati stand
 
Long distance have their offices where they feel more comfortable. Why should you take them to a congested place?
We kijana, unadhani bus zetu hazina office? Zina mpaka depot zao.

Kubali hamna organized public transportation system.

Kupaki ovyo ovyo.

Mind you kuna stand mpaka za Daladala huku.
 
Wakiambiwa bila IMF shilling itashuka watakubali tuu na maandamano hayatakuwepo. Ruto unakosea wapi mpaka tukupe mbinu ya kuwa manage hawa nyangau wadogo?
Hata hilo la Adani awaambie Tanzania tumeuza Port, Mbunga, BRT Kwa Adani huenda wakaacha kuandamana. 🤣🤣🤣🤣🤣

Huwezi amini wanaamini, nakumbuka Enzi za kikwete niliamini tumeuza nchi nzima dah Magufuli alipoingia kumbe not as I thought, mpaka sheria za kulinda zinapitishwa bungeni bila kelele ya waliouziwa nilijua ulikua ufisadi.

Uzuri now kuna Sheria babalao "Permanent Sovereignty on all natural resources"

Hao wanajichekesha eti Kuna watu wamenunua Ardhi na kuimiliki, wakumbuke wanainunua kwa mwavuli wa uwekezaji ukishindwa iendeleza inarudi kwa Wananchi.

Na wananchi wakigundua sio Mtanzania kesho unalo na itarudi?.

The worst thing foreigner anaweza fanya hapa Tanzania ni kuwakejeli wananchi juu ya umiliki sijui ardhi or anything na kusema hawatafanya lolote "DON'T TRY THESE" Hata ukiwa Mtanzania tajiri.

Wapo wengi walifanya Enzi za kikwete, Akaingia Magufuli walifilisika vibaya sana na wengine kunyea ndoo.
 
Hata hilo la Adani awaambie Tanzania tumeuza Port, Mbunga, BRT Kwa Adani huenda wakaacha kuandamana. 🤣🤣🤣🤣🤣

Huwezi amini wanaamini, nakumbuka Enzi za kikwete niliamini tumeuza nchi nzima dah Magufuli alipoingia kumbe not as I thought, mpaka sheria za kulinda zinapitishwa bungeni bila kelele ya waliouziwa nilijua ulikua ufisadi.

Uzuri now kuna Sheria babalao "Permanent Sovereignty on all natural resources"

Hao wanajichekesha eti Kuna watu wamenunua Ardhi na kuimiliki, wakumbuke wanainunua kwa mwavuli wa uwekezaji ukishindwa iendeleza inarudi kwa Wananchi.

Na wananchi wakigundua sio Mtanzania kesho unalo na itarudi?.

The worst thing foreigner anaweza fanya hapa Tanzania ni kuwakejeli wananchi juu ya umiliki sijui ardhi or anything na kusema hawatafanya lolote "DON'T TRY THESE" Hata ukiwa Mtanzania tajiri.

Wapo wengi walifanya Enzi za kikwete, Akaingia Magufuli walifilisika vibaya sana na wengine kunyea ndoo.
Yote for saying "SIONGEI NA MBWA NAONGEA NA MWENYE MBWA"
 
Waone sasa watalii watazunguka badae wanakuja kuleta maokoto ya kutosha nchi ya asali na maziwa blessed Country
This means Tanzania got lots to offer, more days in Tanzania more dollars spent, Kunyaland offers nothing masai mara their cream de la creme is kind of a zoo to tour like a few minutes park walk you're already done, Serengeti utatumia a whole week to navigate na usiimalize na bado parks nyingine 30 hujagusa na bado wanapata guts za kurival na Tanzania

View attachment 3096002
 
ww nae acha kuongea pumba unajua hio depot inajengwa wapi?? uliza kama huna ulijualo, hio ni barabara ya inafungwa ili ujenzi uanze rasmi na depot inajengwa nyuma ya ile mall kubwa ya ubungo
Nyuma ya mall kuna depot mbona kitambo tu, eneo linalojengwa depot kubwa ku replace ile ya pale jangwani ni pembeni ya kituo cha daladala simu elfu mbili ambapo kimsingi ni eneo la soko la machinga, ndio mana juzi kati waligoma jamaa.
 
Umenikumbusha mbali sana maake tulifika mahala tunaambiwa unanijua mimi ni nani na JPM akasema mulize unanijua mimi nasitaki kukujua R I P
JPM
Hata hilo la Adani awaambie Tanzania tumeuza Port, Mbunga, BRT Kwa Adani huenda wakaacha kuandamana. 🤣🤣🤣🤣🤣

Huwezi amini wanaamini, nakumbuka Enzi za kikwete niliamini tumeuza nchi nzima dah Magufuli alipoingia kumbe not as I thought, mpaka sheria za kulinda zinapitishwa bungeni bila kelele ya waliouziwa nilijua ulikua ufisadi.

Uzuri now kuna Sheria babalao "Permanent Sovereignty on all natural resources"

Hao wanajichekesha eti Kuna watu wamenunua Ardhi na kuimiliki, wakumbuke wanainunua kwa mwavuli wa uwekezaji ukishindwa iendeleza inarudi kwa Wananchi.

Na wananchi wakigundua sio Mtanzania kesho unalo na itarudi?.

The worst thing foreigner anaweza fanya hapa Tanzania ni kuwakejeli wananchi juu ya umiliki sijui ardhi or anything na kusema hawatafanya lolote "DON'T TRY THESE" Hata ukiwa Mtanzania tajiri.

Wapo wengi walifanya Enzi za kikwete, Akaingia Magufuli walifilisika vibaya sana na wengine kunyea ndoo.
 
Nyuma ya mall kuna depot mbona kitambo tu, eneo linalojengwa depot kubwa ku replace ile ya pale jangwani ni pembeni ya kituo cha daladala simu elfu mbili ambapo kimsingi ni eneo la soko la machinga, ndio mana juzi kati waligoma jamaa.
Kwahiyo wanawafukuza Wananchi wasifanye biashara kwa maslahi ya Taifa halafu wanaleta Mwendokasi ili ifanye biashara kwa maslahi ya Mwarabu!? Magufuli alikosea sana kumuweka Yule Bi’Kidude kuwa Vice wake…………alikosea sana

2025 nitampigia Mpinzani kwa nguvu yoyote ile na 23 September nitakuwa kwenye maandamano

SAMIA MUST GO
 
Back
Top Bottom