Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Umegoma nikusaidie.?Wacha nikupuuze hauna content
Umegoma nikusaidie.?Wacha nikupuuze hauna content
1.1.2 Electricity Monthly Peak DemandPeak demand is a measure of the highest load demand in the interconnected network for a specified period. It occurs between 2000hrs-2030hrs in the Coastal region and 1930hrs-2000hrs for the rest of the country. The peak demand reached 2,149 MW which was recorded on 14th December 2022.Hata by 2030 hamtakua mumefikisha demand ya 2000mw. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3094250
Majamaa ndio maana yana hasira kila wakati😎😎😎Over 95% ya wakenya huwa wananuka.
ongeza north mara mine ambayo nayo imeunganishwa kwa grid ya taifa mwaka huu bila kusahau most industries in tanzania zinatumia coal kuzalisha umeme wao kwa ajili ya viwanda vyaoHata by 2030 hamtakua mumefikisha demand ya 2000mw. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3094250
Niongeze nini, kwani mimi ni TANESCO?ongeza north mara mine ambayo nayo imeunganishwa kwa grid ya taifa mwaka huu bila kusahau most industries in tanzania zinatumia coal kuzalisha umeme wao kwa ajili ya viwanda vyao
Wanajiona ni matajiri ha ha ha😎Hivi hawa wajinga eeeh!?
Hawajui kama kodi zao zitahusika tena kujenga hayo majengo wanayochoma?
Hawa watu wapuuzi kweli wamedata.Ugaidi unanukia.
Nchi ya watu wachafu
si umesema kuwa hatutakuwa na uwezo wa kufikisha hizo 2000Mg nimekuambia hizo taarifa huwa zinaandaliwa kwa QUarter na hiyo taarifa sanasana itakuwa ni quarter ya pili ya 2023/2024 sasa kwa taarifa sahihi jua kuwa kipindi cha kuanzia april mpaka august mwaka huu idadi ya viwanda na watumiaji waliounganishwa kwa grid ya taifa ni kubwa sana ikiwamo hata vile viwanda vilivyokuwa vinatumia makaa ya mawe na diesel kama Northa mara mining. kwa point hizo jua consumption kwa kuanzia mwaka 2024/2025 itapapanda na kuipita hiyo 2000Mg kwa sababu tu kwa hiyo taarifa 45Mg za north mara na sgr bado hazijaingizwa humo. pili SINOTAN industrial park kuna viwanda vishaanza kufanya kazi na hapo taarifa yake hutaikuta. Dangote naye cement inaenda kuunganishwa hapo na consumption ni zaid ya 40Mg.Niongeze nini, kwani mimi ni TANESCO?p
Kibera inzazidi kupangika 😍😍😍😍
Nyinyi hupiga tu mdomo, sasa unapinga data ya AFDB na TANESCO. 🤣 🤣 🤣 Hii sio umbea ya Simba na Yanga ile mumezoea, ongea na facts, weka data tuone.si umesema kuwa hatutakuwa na uwezo wa kufikisha hizo 2000Mg nimekuambia hizo taarifa huwa zinaandaliwa kwa QUarter na hiyo taarifa sanasana itakuwa ni quarter ya pili ya 2023/2024 sasa kwa taarifa sahihi jua kuwa kipindi cha kuanzia april mpaka august mwaka huu idadi ya viwanda na watumiaji waliounganishwa kwa grid ya taifa ni kubwa sana ikiwamo hata vile viwanda vilivyokuwa vinatumia makaa ya mawe na diesel kama Northa mara mining. kwa point hizo jua consumption kwa kuanzia mwaka 2024/2025 itapapanda na kuipita hiyo 2000Mg kwa sababu tu kwa hiyo taarifa 45Mg za north mara na sgr bado hazijaingizwa humo. pili SINOTAN industrial park kuna viwanda vishaanza kufanya kazi na hapo taarifa yake hutaikuta. Dangote naye cement inaenda kuunganishwa hapo na consumption ni zaid ya 40Mg.
kuna viwanda kibao vinajegwa ukanda wa mkuranga na vyote vinahitaji umeme.
nani kapinga taarifa zinatoka kwa kila robo sasa GGM sasa uzinduzi wa uunganishwaji wa GGM umefanyika tarehe 13/08/2024 sasa tegemea taarifa ya matumizi ya umeme wa GM Kkuanza kuonekana kuanzia mwezi wa kumi kwa sababu ya kwanza ya mwaka 2024/2025 itaaishia tarehe 30/9/2024 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 au tukuelezea maana ya mwaka wa fedha pia(financial year)Nyinyi hupiga tu mdomo, sasa unapinga data ya AFDB na TANESCO. 🤣 🤣 🤣 Hii sio umbea ya Simba na Yanga ile mumezoea, ongea na facts, weka data tuone.