Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

so pesa zote Imeliwa na wanasiasa
Teargas πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


View: https://x.com/c_nyakundih/status/1833832539296768460?s=46

IMG_0111.jpeg
 
Unaposema Frequency unamaanisha nini? Zimepata hitilafu mara ngapi? Kwa kumbukumbu yangu ni mara tatu tu tangu tuanze.
Tatu in less than 3 months. 🀣 🀣 🀣 Kwa hivyo kila mwezi itakua ikipata hitilafu.
 
Naona figure zimekushtua. Pole sana waulize youtuber wenu kama kuna trip wa;ienda na treni haukujaa. In fact watu wanataka more trips ila TRC wako reluctant hawawezi kutumia hizi numbers kuweka ratiba ya kudumu kwasababu mpaka sasa hawajui ni real demand au ndio wale wanapanda kutoa gundu.
Ni hivi treni inabeba abiria kama 970 full capacity, amua wewe utapunguza wangapi upate figure unayotaka halafu zidisha mara 4 trips za Dar-Dom-Dar na 4 trips za Dar-Moro-Dar.
Halafu usitupangie treni yetu ifanye nini. Ndio maana unaona tumenunua coaches za abiria tu for now tunajua when tutaanza na mizigo usitupangie. Wewe deal na lile gari moshi lenu. Hivi ushawahi hata kulipanda? I dont think so! Wala sishangai hata wale youtuber wenu wengi hawajawahi kupanda gari moshi lenu ila washapanda sgr ya Tz.

TAZARA loading....
Ruti mbili tu za asubuhi tayari unapata abiria 2,000. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Trial mulianza lini? Nijibu bila hasira plz? 🀣 🀣 🀣
huna akili wewe SGR toka imeanza haijamaliza hata miezi mitatu unataka kunambia mkandarasi atakua kashamaliza kazi yake au?? ikiwa treni yenu mpaka leo miaka 7 inasimamiwa na wachina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
huna akili wewe SGR toka imeanza haijamaliza hata miezi mitatu unataka kunambia mkandarasi atakua kashamaliza kazi yake au?? ikiwa treni yenu mpaka leo miaka 7 inasimamiwa na wachina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hivyo trial haikuanza 2 years ago? 🀣 🀣 🀣 Au hujui maana ya trial.
Sisi sio wajinga kama nyinyi, wachina wanajua kufanya transition ili wakiondoka wanawacha fully skilled staff. Bongoslum munafanya guess work, kila uchao treni lazima zipate hitilafu ju hamna skills.
 
Umeumie eh? 🀣🀣🀣🀣
Trust me hiyo mikono imejeruhiwa sana na kazi ndio maana picha yako na rollers ukiwa college ulikunja vidole kuficha sugu.😁
Uko na hasira za kuwa na mikono ngumuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚. I’m sure skin of your palm is pilled off, a sign of suffering. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom