Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani Wadanganyika ni wadanganyika tu. Nina uhakika hizo figure hata 2000 kwa siku hazifiki. Na mkumbuke SGR yenu inafocus sana sana kwa mizigo, yenu hata sidhani kama mizigo inabeba.
Have you ever heard that phrase saying, “ If you want to please a fool tell them what they want to hear. Tell them what will please and make them sleep peacefully”?😂😂🤣😂
 
Kuna ngedere na bundi wanafurahi treni yetu kupata hitilafu kana kwamba itabadili gari moshi lao liwe la maana. Hawa kenge hawajui hata dunia inaendaje zaidi ya kula ugali na sukuma wiki pale kibera. Niwaambie tu haya mambo ni ya kawaida kwenye ulimwengu wa train za umeme, ila siwalaumu kwasababu hawajui train ya umeme ni nini, wanaiona tu kwenye TV na wakijitahidi wakichungulia kwa jirani.



 
Kuna ngedere na bundi wanafurahi treni yetu kupata hitilafu kana kwamba itabadili gari moshi lao liwe la maana. Hawa kenge hawajui hata dunia inaendaje zaidi ya kula ugali na sukuma wiki pale kibera. Niwaambie tu haya mambo ni ya kawaida kwenye ulimwengu wa train za umeme, ila siwalaumu kwasababu hawajui train ya umeme ni nini, wanaiona tu kwenye TV na wakijitahidi wakichungulia kwa jirani.



na bado still hawajui kama SGR yetu bado iko kwenye trial period bado mkandarasi yupo nchini bado designer yuko nchini mpaka kuda wa uangalizi uishe 😂😂
 
Kuna ngedere na bundi wanafurahi treni yetu kupata hitilafu kana kwamba itabadili gari moshi lao liwe la maana. Hawa kenge hawajui hata dunia inaendaje zaidi ya kula ugali na sukuma wiki pale kibera. Niwaambie tu haya mambo ni ya kawaida kwenye ulimwengu wa train za umeme, ila siwalaumu kwasababu hawajui train ya umeme ni nini, wanaiona tu kwenye TV na wakijitahidi wakichungulia kwa jirani.



Hua zinapata hitilafu often kama hio yenu ama? The frequency ya hitilafu matters a lot.
 
Yani Wadanganyika ni wadanganyika tu. Nina uhakika hizo figure hata 2000 kwa siku hazifiki. Na mkumbuke SGR yenu inafocus sana sana kwa mizigo, yenu hata sidhani kama mizigo inabeba.
Naona figure zimekushtua. Pole sana waulize youtuber wenu kama kuna trip wa;ienda na treni haukujaa. In fact watu wanataka more trips ila TRC wako reluctant hawawezi kutumia hizi numbers kuweka ratiba ya kudumu kwasababu mpaka sasa hawajui ni real demand au ndio wale wanapanda kutoa gundu.
Ni hivi treni inabeba abiria kama 970 full capacity, amua wewe utapunguza wangapi upate figure unayotaka halafu zidisha mara 4 trips za Dar-Dom-Dar na 4 trips za Dar-Moro-Dar.
Halafu usitupangie treni yetu ifanye nini. Ndio maana unaona tumenunua coaches za abiria tu for now tunajua when tutaanza na mizigo usitupangie. Wewe deal na lile gari moshi lenu. Hivi ushawahi hata kulipanda? I dont think so! Wala sishangai hata wale youtuber wenu wengi hawajawahi kupanda gari moshi lenu ila washapanda sgr ya Tz.

TAZARA loading....
 
Back
Top Bottom